Ndugu mjumbe. .unalizungumziaje suala la mjumbe mwenzenu kuwa na tuhuma za ufupi ulio mkakamavu?Tumesikitika sana na Tumeumia sana...
Mpaka hapo tutakapofikia makubaliano..
7800 tuikemee kwa vitendo
Eti manyau nyau!!Ndugu wajumbe. .kutokana na idadi ya wanachama wengi wanaochomoa betri kuongeza. .sisi wajumbe wengine ambao bado hatuja kumbana na hiyo kadhia
Tumeamua kuwa wapenzi watazamaji kwanza. .Mpaka pale Ambapo tutakuwa tumejidhihirishia kwamba Upepo wa kuchomoa ma-betri umetulia. ....
Naomba niwe muwazi hapa. .hakuna thread iliyo nitia hofu kama ile ya yule mjumbe aliye sema kwamba mpenzi wake alikuwa ana muomba ushauri 'kwamba akubali kuchukua mkoba wa uganga toka kwa babu yake au la? .... Awali nilikuwa sijui kwamba hapa Jf Kuna wajumbe wengine ni manyau nyau
Kwako @zeshcriss
Kwa ruhusa/rukusa ya mwenyekiti Ametufungulia njia nipo njiani kuja pm sasa na wewe nipe ruhusa/rukusa nikuje hukooooooMh. Mwenyekiti kutokana na agenda tajwa hapo juu napenda kuwasilisha hoja ya kuhuzunisha kuwa 'couple za mafichoni ni nyingi sana na hazina idadi na hizi hufahamika tu pale muhusika mmojawapo akichomoa betri'. !!
Nisaidie kuniitia huyu bibie...hamna haja ya kujificha wakati mtoto bado analipa namna ile
Jukwaa la PM na liheshimiwe na watu wote
HahahaHili chama tamu sana, ni kujitoa Akili tuu mambo yaende
Njoo na passport size 3, barua toka kwa kiongozi wako wa mtaa, ID na No yako ya NIDA..Kwa ruhusa/rukusa ya mwenyekiti Ametufungulia njia nipo njiani kuja pm sasa na wewe nipe ruhusa/rukusa nikuje hukoooooo
Yuko na ID mpya muda si mrefu atakuja mada zile zile[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]nakutana na picha nakutana na picha
mpenzi wangu Demis sijui Kapotelea wapi?
Hujambo wewe etiHahaha
Wajumbe wengi wako upande wa mshana jrNdugu wajumbe. .kutokana na idadi ya wanachama wengi wanaochomoa betri kuongeza. .sisi wajumbe wengine ambao bado hatuja kumbana na hiyo kadhia
Tumeamua kuwa wapenzi watazamaji kwanza. .Mpaka pale Ambapo tutakuwa tumejidhihirishia kwamba Upepo wa kuchomoa ma-betri umetulia. ....
Naomba niwe muwazi hapa. .hakuna thread iliyo nitia hofu kama ile ya yule mjumbe aliye sema kwamba mpenzi wake alikuwa ana muomba ushauri 'kwamba akubali kuchukua mkoba wa uganga toka kwa babu yake au la? .... Awali nilikuwa sijui kwamba hapa Jf Kuna wajumbe wengine ni manyau nyau
Kwako @zeshcriss
Hizo ni tuhuma tuu bado hazijathibitishwa rasmi! Lakini pamoja na tuhuma hizo mjumbe wenu aliweza kulala nae shuka moja mpaka saa kumi na moja asubuhi!Ndugu mjumbe. .unalizungumziaje suala la mjumbe mwenzenu kuwa na tuhuma za ufupi ulio mkakamavu?
Mimi mzima mkuu. .hofu kwakoHujambo wewe eti
Hahaha mjumbe wetu alikuwa hana namna. .zaidi ya kufidia nauli yakeHizo ni tuhuma tuu bado hazijathibitishwa rasmi! Lakini pamoja na tuhuma hizo mjumbe wenu aliweza kulala nae shuka moja mpaka saa kumi na moja asubuhi!
Tumehuzunishwa sana na 7800 aliyoitelekeza juu ya meza!
Hizo ni tuhuma tuu bado hazijathibitishwa rasmi! Lakini pamoja na tuhuma hizo mjumbe wenu aliweza kulala nae shuka moja mpaka saa kumi na moja asubuhi!
Tumehuzunishwa sana na 7800 aliyoitelekeza juu ya meza!
Sawa nakuja sema usitumie sana ingilishi ada kidogo ilikua shida sikuenda sikuli .Njoo na passport size 3, barua toka kwa kiongozi wako wa mtaa, ID na No yako ya NIDA..
you're warmly welcome and enjoy your stay..!!
Pole na majukumuYaan
Yaani nimepitwa na vituko vya humu. .hata sielewi kinachoendelea
Kuchomoa betri kienyeji ni mambo ya kishamba ndugu mjumbe.Mh. Mwenyekiti kutokana na agenda tajwa hapo juu napenda kuwasilisha hoja ya kuhuzunisha kuwa 'couple za mafichoni ni nyingi sana na hazina idadi na hizi hufahamika tu pale muhusika mmojawapo akichomoa betri'. !!
Tumeumizwa sana na 7800Hahaha mjumbe wetu alikuwa hana namna. .zaidi ya kufidia nauli yake
Sijambo mimi piaMimi mzima mkuu. .hofu kwako