Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Acha kabisaa nawaza mnooo ningekua Mimi na nnavojulikana na ndugu zangu mpk ma ex wamo humu daah!sijui ningekuaje!!
 
Njema tu mpwa, naona umepotea hadi avatar imechange...

Mpwa PM za siku hizi hazifai kuna maarifu wengi washaharibu hakuna kuaminiana....
Mpwa za miaka aisee....
Nipigie debe na mimi ningoe kifaa humu ndani...Sitanii namaanisha Tokea nijiunge JF miaka kibao imepita sijawahi ona hata msg PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…