Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Kwakweli hili suala limeiharibu taswira ya chama na ndugu wajumbe wa tawi la chama letu chama cha wanawake chitchat tuwaombe radhi.

Tunawaomba radhi mfungue pm zenu tuanze kuwarushia vilakilaki.

Kama nilivyo ahidi suala lipo kamati kuu hivi punde litawekwa wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…