Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Kuna thread inasema Mshana amefariki dunia, huwa nachat nae whatsapp lakini toka jumapili namtext hazijawa delivered na nikiangalia last seen inaonesha october 8 saa tatu asubuhi.
Huko whatsapp huwa mnadiscuss nini?[emoji1]
 


Anamshughulikia scorpion atoke kimiujiza.
 
Jamani wale mliokuwa mnapenda kumtania mshana jr acheni maana nasikia sasa hivi uchawi wake ni mara 61.87103 zaidi ya ule alio kuwa nao.
mshana jr wewe sio mtu wa mchezo mchezo nasikia huko uliko kua ulikua ukitikisa kibuyu chako JF nzima inatikisika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimerejea kiongozi hata huko nilikokuwa hali pia ilikuwa tete nilikuwa kila wakati natamani kutupia lakini....
Mortuary attendant naona ulikuwa bize sana[emoji1] .Kipindi hiki vifo na ajali viliongezeka sana au vipi?Au mambo ya mizizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…