winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,006
- 1,151
Mambo mengi tu unayoyajua na usiyoyajua bossHuko whatsapp huwa mnadiscuss nini?[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengi tu unayoyajua na usiyoyajua bossHuko whatsapp huwa mnadiscuss nini?[emoji1]
Uliwahi kumtongoza Mshana huku whatsapp mkuu?[emoji1]Mambo mengi tu unayoyajua na usiyoyajua boss
Karibu mkuu, ulijuwa utani.[emoji134] [emoji15] [emoji87] dua la kuku
Shukran kwa mrejeo kwema lakini huko ulikotoka?Nimerejea kiongozi hata huko nilikokuwa hali pia ilikuwa tete nilikuwa kila wakati natamani kutupia lakini....
Mkuu hongera kwa kurejea..! Nilisikia eti ulikuwa kwenye kazi maalum ya kuzindika Bombardier zetu pendwa..! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimerejea kiongozi hata huko nilikokuwa hali pia ilikuwa tete nilikuwa kila wakati natamani kutupia lakini....
HahhahahaaaaMkuu hongera kwa kurejea..! Nilisikia eti ulikuwa kwenye kazi maalum ya kuzindika Bombardier zetu pendwa..! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leo kaanzisha Uzi unahusu Gongomshana jr hajaonekana hadi leo...???
Leo kaanzisha uziJamani wenye namba yake wampigie isije ikawa ana matatizo makubwa?!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] utajuaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku nilitaka kufa nitatoa taarifa
Sijauona....!Leo kaanzisha Uzi unahusu Gongo
Ninammudu.......😀😀😀
Kama ashakuja we unasubiria nini..? wkt wenzako washakimbia!
Eti mwana ni kweli ulikuwa umeBANika?@mshanajr swahiba wangu hebu pita huku
Aah wapi ...nilikuwa safarini!naona mlijimwaga sana tu humu jamvini bila challangesEti mwana ni kweli ulikuwa umeBANika?
Aah wapi mi mwenyewe ndio nimerejea sina hata masaa 24Aah wapi ...nilikuwa safarini!naona mlijimwaga sana tu humu jamvini bila challanges