Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,514
- 768
Acheni kupotosha mkuu Deception yupo hai na hivi majuzi nilimcheki WhatsApp kumpa hai, binafsi nilimuelewa sana na namshukuru Mungu kwa ajili yake kwani alinifumbua machoJamaa kilichomuua ni hofu na kutokukubali hali halisi,nilizaliwa na Ukimwi lakini ukiniona hata kunihisi huwezi