From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
hahahaha Jipe moyo mkuu.Safi sana .nimekuelewa
Hawa wakina cjui mkuyati na sweelove wanongea kama wamekariri
Unaona sasa unavyokua huelewi.huyo anayekutwa positive kimepimwa kirusi au imepimwa hali yake yani reaction ya mwili wake.kama kinga yako ina mushkiri lazima na askari wa mwili wako wamereact lazima ukutwe positive.Makuku Rey, niliona mjadala hauendi popote.
Deception anasema hakuna HIV, lakini mimi na mtu mwingine tukipima, mmoja wetu anakuwa positive. Hata apime mara ngapi, bado anakuwa positive.
Yeye Deception anakuambia hakuna kitu kama hicho.
Nikaona nabishana na mtu ambaye ameshaamua na hawezi kubadilika.
Hukunielewa. Hakuna ugonjwa wa UKIMWI na kwa kuwa hakuna huo ugonjwa ina maana hakuna kirusi kinachoambukiza UKIMWIMwanzo umeanza ukimwi sio ugonjwa mwisho umemaliza ugonjwa wa ukimwi
Hahahahaaa nimekuelewa sana wakina sir with love tunao wengi sana.hawa hata darasana sup zilikua hazichezi mbali naoMkuu hawa Madaktari wako wa aina nyingi ,
wapo waliosoma lakini hawakuridhika na yale waliyofundishwa tu Wakaamua kujiongeza kwa kufukua yalifichwa. Hawa wanajua HIV ni fix.na UKIMWI upo kwa kila binadamu na ndiyo maana tunaungua magonjwa mbalimbali.
Na tiba ya magonjwa yote yaliyopo hapa duniani ni mimea tu( mbogamboga,matunda, mizizi,majani)
Kuna wanaofaidika na giriba ya makampuni ya madawa ingawa kwa asilimia ndogo lakini kwao inaonekana kubwa.
Kuna walioridhika na kiwango walichofikia ,hawana haja ya kuendelea kuchimbua zaidi kwa kufikiri na kusoma vitabu na machapisho zaidi.
Hawa kwao Ukimwi/AIDS inaletwa na ngono
Kuna wale waliopumbazwa na uwongo wa wazungu na kuukubali nu kuuishi nao , hawa kwao HIV ni kitu cha ukweli.
Sijui mkuu,ila sijawahi kuugua hata Mafia huu kama mwaka wa 15Kiongozi, ulishawahi kuwa na UKIMWI. Nauliza hivi ili nikuelewe.
Hongera sana. Sasa Deception anaposema watu wengi Afrika wana UKIMWI, anazungumzia nini na nani hasa? Kipimo chake ni nini mkuu?Sijui mkuu,ila sijawahi kuugua hata Mafia huu kama mwaka wa 15
Hahahahaaa nimekuelewa sana wakina sir with love tunao wengi sana.hawa hata darasana sup zilikua hazichezi mbali nao
HIV inaharibu kinga lakini mwili wa binadamu bila HIV una uwezo wa kupigana na maginjwa mengi.Chanzo cha kinga kupungua ni HIV pekeyake? Au kuna sababu nyingine zinaweza kupelekea upungufu wa kinga ya MTU(ukimwi)
Hey uje basi utuelezee kuhusu pia homa ya iniNadhani,watakuwa wameambiana inbox wasijadili suala hili,nadhani.Au labda wameona huu mziki mnene.Na ni kweli mimi sibahatishi,najua kweli,na nisichokijua huwa sipendi kukijadili sana.Ndio maana hawa ma MD wanabaki kurukaruka tu,wanakurupuka kupinga,wanapoona maji yako shingoni wanapotea halafu wanarudi tena watu wakishasahau.
Siku za watu kujua ukweli wa suala hili haziko mbali,siku hizo zikifika kuna watu wataaibika sana.Humu JF kuna watu wachache wameshajua ukweli.
Ulijuaje wameathirika?Sio kila upiga bila kondom unaweza kuambukizwa kama unalala na mwenye virus. Mm nimelala na wenye virus tofauti tofauti mara 4 kavu kavu lkn sijawahi kuambukizwa. Inategemea matayarisho yako kabla ya tendo.
Kwa hiyo tusipime Ukimwi,pia ukipimwa ukimwi ukakutwa unao usithubutu kuchukua dawa,,utafanya nini,wape watu elimu ili waepukane na ARVARVs hazina kazi yoyote ya maana mwilini zaidi ya hasara tu.ARVs ndizo zinazosababisha UKIMWI kwa wale wanaozitumia kwa muda mrefu.Pole sana kama elimu hii itakwenda kinyume na unachokijua sasa,lakini huo ndio ukweli,dunia hii haiko kama uijuavyo,kuna mambo mengi uyajuayo sasa ni ya Uongo sana zaidi ya hili la HIV.
Anazungumzia takwimu sio lazima niwe mimiHongera sana. Sasa Deception anaposema watu wengi Afrika wana UKIMWI, anazungumzia nini na nani hasa? Kipimo chake ni nini mkuu?
Kwahiyo bila HIV kinga ya mwili haiwezi kupunguaHIV inaharibu kinga lakini mwili wa binadamu bila HIV una uwezo wa kupigana na maginjwa mengi.
Inawezekana ukishwahi kuwa exposed na TB lakini mwili uliwekwa kupigana kadhalika pneumonia.
Unaona sasa unavyokua huelewi.huyo anayekutwa positive kimepimwa kirusi au imepimwa hali yake yani reaction ya mwili wake.kama kinga yako ina mushkiri lazima na askari wa mwili wako wamereact lazima ukutwe positive.
Takwimu za you tube? Alete chapisho sio bla bla bla.Anazungumzia takwimu sio lazima niwe mimi
Mwili una uwezo wa ku pick up Kama si HIVKwahiyo bila HIV kinga ya mwili haiwezi kupungua
Kwahiyo bila HIV kinga ya mwili haiwezi kupungua
Kwahiyo askari wakishindwa kupambana na hao aina nyingine ya virusi nini kinatokea kwenye kinga ya huyo MTU?Kuna Virusi maelfu kwenye hii dunia. Kinga ya mwili itapungua kama askari wazuri watashindwa kuulinda mwili, hii haina maana hakuna HIV. Get it.
Kinga inashuka. Hili ndiyo jibu. Inashuka kwa kiasi gani? inategemea next actions, kama kuna tiba kwa huo ugonjwa well and good, kinga itarudi juu.Kwahiyo askari wakishindwa kupambana na hao aina nyingine ya virusi nini kinatokea kwenye kinga ya huyo MTU?