Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,164
Kuna siku Deception ktk moja ya maandiko yake alisema ss jamaa wana mpango wa kulazimisha mtu akipimwa akakutwa na maambukizi(feki) anaanzishiwa dawa (ARV)direct hata kama CD4 ziko 900.
Kwa wanaojua mtu alikua anaanzishiwa dose ikiwa cd4 zimeshuka hadi 250 hv lkn ss maadam tu umepimwa ukakutwa +ve unaanzishiwa.
Why this??jamaa waligundua watu wanapotezea dawa zao na hawaoni issue.
La ajabu haikupita muda waziri mwenye dhamana huyuhuyu akiyepo sasa akatangaza vilevile na vyombo vya habati vikaripoti na kumnukuu
Jana nimewauliza watetezi wa hii myth , ni nini huwa positive au negative katika vile vipimo vyao, jamaa wanazunguka tu hawajibu sababu pale kuna uongo fulani wanaukwepa.
Ndiyo maana nikasema wale wenye mwangaza kidogo wawaelimishe ndugu zao huko vijijini kwao ,sababu tunaongopewa sana.
Nina uhakika kabisa asilimia kubwa yetu tuna matitizo ya Moyo, msukumo wajuu wa damu, na hii inatokana na zile kampeni tulipigwa yale machanjo(vaccination).
Wanakuja na zuga nyingi sijui chanjo ya nini sijui kumbe tunapewa sumu itumalize taratibu.