Tangu Diamond awe Tarzan nyota yake imefifia mnooooooo.

Hio aliokupiga inaitwa massive attack
 
Alikiba amekupa shingapi?

A Philanthropist&Β£conomist.
 
Na ndo mana umepata like moja tu,utumbo wa Bata.

A Philanthropist&Β£conomist.
 
Kiukweli tangu Diamond Platnumz awe na Tarzan (Tanasha) nyota yake imefifia mnoooo.
Hivi hizi nyota mnapima kwa kuangalia nini hasa?!
-Majuzi hapa hajaenda msibani kwa Ruge (Home), Instagram yote pamoja na Youtube inamzungumzia yeye as if ni yeye ndie hakwenda!
-Kachelewa kwenda kuaga pale Karimjee; Instagram yote na Youtube inamzungumzia yeye as if hakuna wengine ambao walichelewa!
-Bado anaendelea kutoa ngoma kama kawaida na bila kujali kama ni mzuri au hapana, bado views zinakimbiza! Angalia kwanza ngoma 4 alizotoa Harmonize huku akishirikisha Wasanii tofauti including Diamond! Ni ngoma aliyomshirikisha Diamond ndiyo inakimbiza views kwa zaidi ya mara tatu ukilinganisha na zingine!!!
-Kalamba Ubalozi wa Pepsi, na jinsi anavyokazana kwa promo, kuna kila dalili Pepsi wanamlipa mpunga mzito sana pengine kuliko aliokuwa analipwa na Coca Cola!
-Ukiangalia Followers wa Instagram; bado wanazidi kupanda kwa sababu ni miezi michache tu iliyopita alikuwa na Followers 6Million lakini hivi sasa anao 6.3 Million! Na kwa kasi hii, kuna kila dalili kabla ya July atakuwa na 6.5 Millions!

Sasa nisaidie wewe!! Kufifia kwake unapima kwa kutumia vigezo vipi?!
 
Hujagundua lengo Diamond ni nini kwa baadaye.Tutulie kitu gani atakuja nacho sababu mwaka haujaisha huu,Kumbuka juzijuzi tu aliitwa Trace Muziki.
 
Kwa hiyo tukusaidie nini?acha kuzurura
 
Umenena jambo Mkuu. Unaonaje ukiolewa naye wewe ili nyota ing'ae. Naona umeandika kwa uchungu sana.
 
Hili povu vipi mpaka matako yanakucheza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacha wee
 
Yaani Chibu alivyonyoa vile nijinywele vyake kanifurahisha sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…