Tangu juzi nipo mitaa ya Barcelona kashinda derby 4-0 lakini sijaona mabango ushamba mzigo

Tangu juzi nipo mitaa ya Barcelona kashinda derby 4-0 lakini sijaona mabango ushamba mzigo

Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Kuna kichapo mnatengenezewa huko Avic Town kinakuja na mabango yake pia. Tumeona namna yanavyowakera. Ndio raha yetu!

Usituletee ustaarabu wa wazungu kwetu. Kila mtu ana namna yake ya kuishi. Usifanye maisha ya mwingine kuwa instruction manual kwa wote. Ishi maisha yako!
 
Vipi umeona wazee wa Real Madrid wakilalamikia refa na mawaziri wa Spain?

Vipi viongozi wa Real Madrid nao umewaona wakilaumu wachezaji wao kupokea rushwa?

Pumbavu.
 
Kuna kichapo mnatengenezewa huko Avic Town kinakuja na mabango yake pia. Tumeona namna yanavyowakera. Ndio raha yetu!

Usituletee ustaarabu wa wazungu kwetu. Kila mtu ana namna yake ya kuishi. Usifanye maisha ya mwingine kuwa instruction manual kwa wote. Ishi maisha yako!
Kwa ulimbukeni wako hata lugha hapo uliyotumia ni ya mzungu kweli ushamba mzigo kwenda shule sio kustarabika!
 
Huoni raha mtu akishinda kihalali bila mpira kutoka nje!
Hujajibu we Mbumbumbu.

Hujaona wazee wa Real Madrid, Mashabiki, Viongozi wakilaumu Refa, wadhamini wa Barcelona, Viongozi wa serikali, Viongozi wa Barceloa, Wachezaji wao hadi wao kwa wao?
 
Hujajibu we Mbumbumbu.

Hujaona wazee wa Real Madrid, Mashabiki, Viongozi wakilaumu Refa, wadhamini wa Barcelona, Viongozi wa serikali, Viongozi wa Barceloa, Wachezaji wao hadi wao kwa wao?
Nimekujibu mpira una raha yake uchezwe bila kutoka nje wala magoli ya offside!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.View attachment 3136864
Limbukeni!
 
Kwa hiyo bro wewe unaweza kuwa na open relationship na mkewako Kwa kuwa tu wazungu Wana huo utaratibu wa ndoa?
 
Wale wa utopolo hawana akili...
Na ushamba na ulimbukeni...
Watu walikula 7 sijui ni timu gani huko ulaya tena kubwa nimeisahau hawajaweka mabango...
 
Wale wa utopolo hawana akili...
Na ushamba na ulimbukeni...
Watu walikula 7 sijui ni timu gani huko ulaya tena kubwa nimeisahau hawajaweka mabango...
Vipi wazee wa Real Madrid nao wameitisha press media na kujiliza huku wakishtumu refa,wachezaji wao, wachezaji wa Barcelona kuwa hawachezewi rafu,viongoyi wa serikalk ya Spain, Wadhamini wa Barcelona, Viongozi wa Barcelona na kujitoa kushiriki laliga?
 
Back
Top Bottom