HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
SImba na Yanga zote za Kariakoo, je hapo Catalunya ndio Madrid ilipo mpaka uweke bango la kuwakera Madrid? Tumia akili ndogo tu ku reason vitu na zaid huo ni utani wa hizo timu 2 za Kkoo huwezi kuupata kwingine