samahani mkuu uliye jijini Barcelona hivi mtu akifanya vitu kwa namna yake na njia zake anazo ona yeye ni sahihi inakuwa ndiyo ushamba?🤔Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
stupidUmeandika vitu vingi visivyo eleweka rudia tena nisome vizuri!
Ule ni ushamba man city ashampiga man u 6 hatukuona mabango!samahani mkuu uliye jijini Barcelona hivi mtu akifanya vitu kwa namna yake na njia zake anazo ona yeye ni sahihi inakuwa ndiyo ushamba?🤔
Kuhusu nini?Una msongo wa mawazo....😀😀😀
Limbukeni jengine hili lilokariri lugha lakini bado ushamba umetapakaa mpaka usoni!stupid
hamna mkuu mimi naamini wanavyo fanya wabongo ndiyo culture ya derby yao na maana halisi ya utani wa jadiUle ni ushamba man city ashampiga man u 6 hatukuona mabango!
naheshimu maoni yako nawe heshimu yangu kuwa ule ni ushamba!hamna mkuu mimi naamini wanavyo fanya wabongo ndiyo culture ya derby yao na maana halisi ya utani wa jadi
Kwani hao wanaofanya hayo unawachangia kiasi gani kutokana na maumivu yakoNazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Wazungu wanakwambia gender is a wide concept, there are no two gender (I hope na wewe unaamini ivyo) , most Europeans wanatumia tissue na wanashangaa watu wanaotumia maji kujitawaza (by your logic nawewe utabidi utushangae kwanini tunatumia maji) , wahispania wanaamini Jumanne ni siku ya mikosi, kuna haka kamsemo "En martes, ni te cases, ni te embarques, ni de tu casa te apartes" wanakwambia hakuna kuoa, kusafiri majini wala kuondoka nyumbani kwako siku ya jumanne (Wewe huoni kama ni ujima kuamini upuuzi kama huo).Wa wazungu ni bora kuliko wetu wa ushamba ni mzigo kule kufikiri tu kuweka bango ni upuuzi pili kuchemsha nyama za kuoza ni ulimbukeni nani bora hapo mzungu au wewe!
Hii itakuwa ni Barcelona ya kwa Mtogole.Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
JItahidi basi wala sio bei ghali visa na ticket!Hii itakuwa ni Barcelona ya kwa Mtogole.
Unaandika tu lakini ukikaa peke yako unakiri hapo ulipo mifumo yako ya maisha yote unatumia utamaduni wa mzungu!Wazungu wanakwambia gender is a wide concept, there are no two gender (I hope na wewe unaamini ivyo) , most Europeans wanatumia tissue na wanashangaa watu wanaotumia maji kujitawaza (by your logic nawewe utabidi utushangae kwanini tunatumia maji) , wahispania wanaamini Jumanne ni siku ya mikosi, kuna haka kamsemo "En martes, ni te cases, ni te embarques, ni de tu casa te apartes" wanakwambia hakuna kuoa, kusafiri majini wala kuondoka nyumbani kwako siku ya jumanne (Wewe huoni kama ni ujima kuamini upuuzi kama huo).
?
Kila sehemu watu wanadesturi zao, watu washamba kama nyinyi ndo mnaona desturi za watu wengine ni bora zaidi, alafu mnavyojikutaga wasomi sasa mkianza kusifia wazungu, sisi tunawaangalia tunawaona wakuja sana wenetu
Na Espanha onde voçè vive?Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
tufungue uzi wa kipanha tu huu usitumie gugo!Na Espanha onde voçè vive?
Cc ndo hatuna ustarabu ungekuwa unalinganisha na Australia kidg ningekuelewaSasa unadhani tabia na mienendo ya waTZ inafanana na waspain...! kila mtu na ustaarabu wake na haimaanishi ustaarabu wa wazungu ni bora kuliko wetu..
Uko upareni huko unakula kande unazuga upo Spain.Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!