HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Maisha ya wazungu sio universal principle. Acha wazungu waishi kwa namna inayowapa furaha na sisi tuishi kwa namna inayotupa furahaNazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Tatizo UNAZURURA! Hapo umakini haupo na kuna vingi hauvioni.Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Ile sio derby!Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
HahahaHazikufika tano wangefika wangeweka kakaaa
Mawazo mtindo unaona kama spain ni kwa Mungu!Uko upareni huko unakula kande unazuga upo Spain.
Hakuna bango!Ile sio derby!
Washawapiga sita ,tano je mabango yaliwaweka wapi?Kwani nyie simba mkishinda mbona hua mnapita mitaani na vigoma huo utaratibu spain pia upo? Na vile mna uchu wa kushinda siku mkishinda hayo makelele mtaani na boda boda yaani hakuna watu washamba wa ushindi kama mashabiki wa simba.
kwahiyo ulaya ndicho kielelezo chako? Waambie na wakina kapombe wavae vitambaa vinavyohamasisha ushoga kama wafanyavyo hao waume zako wazunguNazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Huo ni ujinga na ulimbukeni. Hata wakifunga 10 haina maana!Zingefika 5 nao wangeweka mabango na kunywa supu, huwezi fananisha maana hazijafika mkono.
Correction ! Natumia vitu vya mzungu sio utamaduni wa mzunguUnaandika tu lakini ukikaa peke yako unakiri hapo ulipo mifumo yako ya maisha yote unatumia utamaduni wa mzungu!
Amini kaka, Mwambie uyo aache ushamba!Wazungu wana siku yao ya kutembea na boxer tu au chupi ipo karibu kila mwaka.
Kila jamii ina aina yake ya so called "Ushamba".
Usiforce tufanane.
Tulieni dawa iwaingieNazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Tulia utajifungua ni uchungu wa muda!kwahiyo ulaya ndicho kielelezo chako? Waambie na wakina kapombe wavae vitambaa vinavyohamasisha ushoga kama wafanyavyo hao waume zako wazungu
Halafu hujaona wazee wa madrid wakilalamikia laliga ujinga ni janga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀🤣🤣🤣🤣Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha yameendelea ile ni game imekuaje huku kwetu kweli ushamba ni mzigo!
Wamefungwa fair ujinga na ushamba ni hatari!Halafu hujaona wazee wa madrid wakilalamikia laliga ujinga ni janga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀🤣🤣🤣🤣
Entaò voçè è mentiroso.tufungue uzi wa kipanha tu huu usitumie gugo!
é um bandido, porque é que sabe na minha casa?Entaò voçè è mentiroso.
Mesmo bairo onde tu estas naò cunhece?
CARRAMBA
Hili jukwaa ilitakiwa liwe na watu waliocheza mpira na sio wapuuzi ambao hata ligi ya kata hajawahi kuchezaTulia utajifungua ni uchungu wa muda!