Tangu mchepuko wangu aanze vicoba, amekuwa na tabia ya kuniibia

Tangu mchepuko wangu aanze vicoba, amekuwa na tabia ya kuniibia

MREJESHO.....
Leo sijaenda kwake kabisa Kuna mahali nlipitia, kwny saa 4 usiku huu Kanipigia Katikati ya stori akanifahamisha kwamba anahisi kaibiwa hapo kwake.

Nkamuuliza "kivipi"

akasema " Kuna pesa za kikoba kesho niliweka ndani humu, sahv sizioni"

Nkamuuliza "aliziweka wapi Sasa",

Akanambia "siku zote zinakaaga pale tu chini ya Kitanda"

Nikamwambia
"Basi inua godolo lote ukague vizur"

Akasema
"mpk nakufahamisha maana ake nishafumua kila kitu humj chumbani na kufagia kabisa ila sijaona kitu chochote".

Nkamuuliza
"Ni sh.ngapi Kwan umeibiwa"

Akasema
"Nyingi nyingi TU ila sio chini ya laki 4 au zinaweza kuzidi"

nikamuuliza
"unaposema kuzid unamaanisha Nini, Inamaana ww hujui unatunza pesa Kia's gani humu ndani kwako?"

Akasema,
"Hamna, Ni kwamba nilikua na kibubu humu ndani, kwaiyo kwa mda wote niloweka pesa hazipungui laki 4 na ushee"

Nikamjibu,
"Wee utakua ujatulia ktk utaftaji wako, kesho asbh ntapitia hapo nikusaidie kutafuta"

Akasema, "Sawa" Kisha tukaagana.

Sasa kesho asbh bila shaka ntapitia kwake kwenda kumsaidia kutafta kibubu chake,

Ambacho uhalisia Ni kwamba ninacho Mimi mwnyw,

kwaiyo kesho asbh
Natarajia kumkabidhi kibubu chake pamoja na kumwambia ukweli wa upuuzi wake wote alokua anaufanya kunisachi mifukoni.
 
MREJESHO.....
Leo sijaenda kwake kabisa Kuna mahali nlipitia, kwny saa 4 usiku huu Kanipigia Katikati ya stori akanifahamisha kwamba anahisi kaibiwa hapo kwake.

Nkamuuliza "kivipi"

akasema " Kuna pesa za kikoba kesho niliweka ndani humu, sahv sizioni"

Nkamuuliza "aliziweka wapi Sasa",

Akanambia "siku zote zinakaaga pale tu chini ya Kitanda"

Nikamwambia
"Basi inua godolo lote ukague vizur"

Akasema
"mpk nakufahamisha maana ake nishafumua kila kitu humj chumbani na kufagia kabisa ila sijaona kitu chochote".

Nkamuuliza
"Ni sh.ngapi Kwan umeibiwa"

Akasema
"Nyingi nyingi TU ila sio chini ya laki 4 au zinaweza kuzidi"

nikamuuliza
"unaposema kuzid unamaanisha Nini, Inamaana ww hujui unatunza pesa Kia's gani humu ndani kwako?"

Akasema,
"Hamna, Ni kwamba nilikua na kibubu humu ndani, kwaiyo kwa mda wote niloweka pesa hazipungui laki 4 na ushee"

Nikamjibu,
"Wee utakua ujatulia ktk utaftaji wako, kesho asbh ntapitia hapo nikusaidie kutafuta"

Akasema, "Sawa" Kisha tukaagana.

Sasa kesho asbh bila shaka ntapitia kwake kwenda kumsaidia kutafta kibubu chake,

Ambacho uhalisia Ni kwamba ninacho Mimi mwnyw,

kwaiyo kesho asbh
Natarajia kumkabidhi kibubu chake pamoja na kumwambia ukweli wa upuuzi wake wote alokua anaufanya kunisachi mifukoni.
[emoji134][emoji134][emoji3]
Nachofurahi ni kuwa humuachi unamwambia ukweli tu!

Nasubiri mrejesho wa kesho hapa baada ya kwenda kumsaidia kutafuta[emoji23]
Siti ya mbele kabisa...

BTW, kwann leo hujaenda kwa wifi jmn?
 
MREJESHO.....
Leo sijaenda kwake kabisa Kuna mahali nlipitia, kwny saa 4 usiku huu Kanipigia Katikati ya stori akanifahamisha kwamba anahisi kaibiwa hapo kwake.

Nkamuuliza "kivipi"

akasema " Kuna pesa za kikoba kesho niliweka ndani humu, sahv sizioni"

Nkamuuliza "aliziweka wapi Sasa",

Akanambia "siku zote zinakaaga pale tu chini ya Kitanda"

Nikamwambia
"Basi inua godolo lote ukague vizur"

Akasema
"mpk nakufahamisha maana ake nishafumua kila kitu humj chumbani na kufagia kabisa ila sijaona kitu chochote".

Nkamuuliza
"Ni sh.ngapi Kwan umeibiwa"

Akasema
"Nyingi nyingi TU ila sio chini ya laki 4 au zinaweza kuzidi"

nikamuuliza
"unaposema kuzid unamaanisha Nini, Inamaana ww hujui unatunza pesa Kia's gani humu ndani kwako?"

Akasema,
"Hamna, Ni kwamba nilikua na kibubu humu ndani, kwaiyo kwa mda wote niloweka pesa hazipungui laki 4 na ushee"

Nikamjibu,
"Wee utakua ujatulia ktk utaftaji wako, kesho asbh ntapitia hapo nikusaidie kutafuta"

Akasema, "Sawa" Kisha tukaagana.

Sasa kesho asbh bila shaka ntapitia kwake kwenda kumsaidia kutafta kibubu chake,

Ambacho uhalisia Ni kwamba ninacho Mimi mwnyw,

kwaiyo kesho asbh
Natarajia kumkabidhi kibubu chake pamoja na kumwambia ukweli wa upuuzi wake wote alokua anaufanya kunisachi mifukoni.
Ngoja tusubiri hiyo kesho
 
[emoji134][emoji134][emoji3]
Nachofurahi ni kuwa humuachi unamwambia ukweli tu!

Nasubiri mrejesho wa kesho hapa baada ya kwenda kumsaidia kutafuta[emoji23]
Siti ya mbele kabisa...

BTW, kwann leo hujaenda kwa wifi jmn?
[emoji16][emoji16]huyu sio mchepuko mpk mafuta anawekewa kwenye gari ni mke mdogo bado kuwa official tu na hajaamua kujiuprgrade huyu mama j ili awe bimdogo Ila kuna dalili zote za huyu Dada kuwa mke mdogo rasmi soon na hyo gari ukute ndo ikawa yake rasmi baadae akamnunulia kabisaa
 
[emoji16][emoji16]huyu sio mchepuko mpk mafuta anawekewa kwenye gari ni mke mdogo bado kuwa official tu na hajaamua kujiuprgrade huyu mama j ili awe bimdogo Ila kuna dalili zote za huyu Dada kuwa mke mdogo rasmi soon na hyo gari ukute ndo ikawa yake rasmi baadae akamnunulia kabisaa
Ila huyu Wifi na kweli hajaamua tu kujiongeza!
Ningeshafanya yangu ningekuwa mke kabisa![emoji3]
 
Mmh! Wee acha tu[emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu unafanya yote haya ila kumbuka kumpa mkeo wa halali gari. Na yeye kwa sababu siku likitokezea tatizo au majanga mchepuko ata kukimbia na mkeo ata hangaika kukuokoa ww

Maneno yangu ukaa chini ukitafakari kiundani utajua nn na namanisha ila kama gari anayo sawa
 
MREJESHO.....
Leo sijaenda kwake kabisa Kuna mahali nlipitia, kwny saa 4 usiku huu Kanipigia Katikati ya stori akanifahamisha kwamba anahisi kaibiwa hapo kwake.

Nkamuuliza "kivipi"

akasema " Kuna pesa za kikoba kesho niliweka ndani humu, sahv sizioni"

Nkamuuliza "aliziweka wapi Sasa",

Akanambia "siku zote zinakaaga pale tu chini ya Kitanda"

Nikamwambia
"Basi inua godolo lote ukague vizur"

Akasema
"mpk nakufahamisha maana ake nishafumua kila kitu humj chumbani na kufagia kabisa ila sijaona kitu chochote".

Nkamuuliza
"Ni sh.ngapi Kwan umeibiwa"

Akasema
"Nyingi nyingi TU ila sio chini ya laki 4 au zinaweza kuzidi"

nikamuuliza
"unaposema kuzid unamaanisha Nini, Inamaana ww hujui unatunza pesa Kia's gani humu ndani kwako?"

Akasema,
"Hamna, Ni kwamba nilikua na kibubu humu ndani, kwaiyo kwa mda wote niloweka pesa hazipungui laki 4 na ushee"

Nikamjibu,
"Wee utakua ujatulia ktk utaftaji wako, kesho asbh ntapitia hapo nikusaidie kutafuta"

Akasema, "Sawa" Kisha tukaagana.

Sasa kesho asbh bila shaka ntapitia kwake kwenda kumsaidia kutafta kibubu chake,

Ambacho uhalisia Ni kwamba ninacho Mimi mwnyw,

kwaiyo kesho asbh
Natarajia kumkabidhi kibubu chake pamoja na kumwambia ukweli wa upuuzi wake wote alokua anaufanya kunisachi mifukoni.
Aisee hatari sna hii
 
Back
Top Bottom