DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #241
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohhh , not that young though.
Nini Tena da Suzie? [emoji4]It is the "you can't be serious " for me[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AKILI yake Sasa utadhan ndo Yuko 19Oohhh , not that young though.
27 mwaka huu...
🤣🤣🤣Muoe uenda atatulia, maana we Bwana kwa Mchepuko umekwama kuliko kwa Mkeo[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Yeah, but you can lead her to positive changes.
Huyu mrembo ananichekesha sana...
Eeh kumbe mdogo hivyo
Ha ha ha ..Huyu mrembo ananichekesha sana...
Nili imagine alivyokuta "empty space" uvunguni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alivyotoa macho kusema" You can't be serious" ??
Sorry, I love laughing too
Mambo mengi MDA mchache [emoji4]Dunia ina mambo mengi sana aisee.
Ila atakuwa tu hayupo matured enough ..
Tuombe mungu abadilike, uyu Nadhan akifika 30s akili itatulia.Ila atakuwa tu hayupo matured enough ..
Ndo maana anatamani ndoa hivyo uje siku umuoe tu hata kimila tu Mkuu .
Eti kumsaidia kukitafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ..
Alipigwa na bumbuazi sana.
maana tangu Jana ake nlkua namuigizia kusudi Kama Sijui chochote na ntakwenda kumsaidia kukitafuta kibubu chake mle ndani[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh inawezekana akatulia hata kabla ya kufikisha 30 ..Mvumilie maana ndo kipenzi chako .Tuombe mungu abadilike, uyu Nadhan akifika 30s akili itatulia.
Ndo Maana naendelea kumvumilia, utoto mwng mno[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha....Eti kumsaidia kukitafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha zako wewe,Ooh inawezekana akatulia hata kabla ya kufikisha 30 ..Mvumilie maana ndo kipenzi chako .
Hakika kajaaliwa. NAMSHKURU mungu kwa hilo[emoji120]Eeh kweli ..
Maana bi dada yupo vyema sana .