akilinzuri
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 387
- 424
Jambazi wewe ,kodi ya hiyo nyumba analipa nani? Kazi anayofanya kamtafutia nani, wezi mnasapotiana ujinga.Ndogo bro...bora hata nyumbani hiyo sio kwa mchepuko, kukuibia ni halali kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambazi wewe ,kodi ya hiyo nyumba analipa nani? Kazi anayofanya kamtafutia nani, wezi mnasapotiana ujinga.Ndogo bro...bora hata nyumbani hiyo sio kwa mchepuko, kukuibia ni halali kabisa
wewe ndio unalipa kodi??Jambazi wewe ,kodi ya hiyo nyumba analipa nani? Kazi anayofanya kamtafutia nani, wezi mnasapotiana ujinga.
Elfu 10 kwa siku.....nimejikuta najiuliza hivi raha ya kuwekwa nyumba ndogo ni nini?
Au ni huto tu ten ten twa msimbazi?
Huyu ni jambazi mwenzake anatetea uhalifu wao, mkumbushe hata kodi ya nyumba unalipa wewe.Anakazi niliyomtafutia anayolipwa 250,000 kila mwezi, SIMUULIZI ANATUMIAJE
Kazin anapewa posho ya elfu 10 ya kula kila siku. SIMUULIZI ANATUMIAJE
Mafuta kwendea+kurud KAZIni kwake namjazia Mwnyw kila wiki.
Bado namuachia elfu 10 ya meza kila siku, bado nyngn ndogo ndogo za hapa na pale tukitoka out au mahitaj mengn madg madh?
Yaan Bado TU hapo huoni nambeba Sana uyu mwenzio[emoji848]
Vikoba oyeeeeeeYaan Hivi vikoba vimekuja kutuletea mabalaa Wanaume.[emoji848]
Can u imagine ndo ya mtu inavunjika kisa kikoba, upuuz wa wapi huu wanafanya kinamama[emoji3525]
Sasa kila siku akwambie?Huu Ni wizi sio kunichuna, Kama anashida na Pesa si bora aseme TU.
Sio kujionesha anajua kukusanya pesa, kumbe ananikwapua kihuni.
Atafute sasa mbona anaiba?Elfu 10 kwa siku.....
Ambayo ana uwezo wa kuitafuta akiamua!!!!!
Kodi ya nyumba, mafuta ya gari kila wiki, kodi ya meza kila Siku, kazi amemtafutia, bado ghrama nyingine, halafu una sapoti wizi,Sasa kila siku akwambie?
Siju nyingine badala ya kumuachia 10 muachie 30 uone kama atakuibia.
La sivyo acha akwiiibe tu
Angekuwa anaenda kulewea ningeungana na wewe ila ananunua hisa, akuibiiiiiiiie tu
Juz ndo nmetoka dodoma kushughulikia uhamisho wake kikazi ahamie mkoani.Huyu dad Ni mke wa pili tu hkn namna ipo siku utaleta mrejesho kuwamchepuko kashika mimba aiwezekani udumu nae HV
Akuna namna
HV yulekija aliyekuwaa anamfatilia umefikia wapi nae umesha mjeruhi au Bado au kaingia mitini
Kuna wanawake wanaridhika na the bare minimum a man can offer. Kweli tunatofautiana.Elfu 10 kwa siku.....
Ambayo ana uwezo wa kuitafuta akiamua!!!!!