Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
mia mbili mia tatu unazo.😄Unamaana gan mkuu[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mia mbili mia tatu unazo.😄Unamaana gan mkuu[emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si useme tu ana mihelaaamia mbili mia tatu unazo.[emoji1]
Huyu si ndo alisemaga Mchepuko wake kuna Jamaa anamvizia huyu...... hadi anataka kumfanyia kitu mbaya huyo Jamaa, au sio huyuJamaa ana mchepuko mmoja lakini daah tabu tunayoipataaa..[emoji3][emoji3][emoji3]
Sahii kabisa,Kuna wanawake wanaridhika na the bare minimum a man can offer. Kweli tunatofautiana.
Stories za DeepPond zinafurahisha na kuelimisha only if you take the time to read between the lines.
Huyo Mchepuko atakutenganisha kati ya Roho na Mwili aseeeeeeee......Ni Mimi mwnyw kabisa[emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo Mchepuko atakutenganisha kati ya Roho na Mwili aseeeeeeee......
Mama Chanja kama katulia tulia nae tu Mkuu, huo Mchepuko mbona anakusumbua hivyo!!!!!Aaaah wapi,
tunaenda sawia kabisa,
Hizi unazoziona Ni changamoto ndogo ndogo TU.
Hata glass kabatini hugongana[emoji4]
Mchepuko mzalisheee huyo unampenda sana kuliko mkeo[emoji3][emoji3][emoji3]Ha ha ha...
Tabu ipi Tena mkuu[emoji4]
Muoe uenda atatulia, maana we Bwana kwa Mchepuko umekwama kuliko kwa Mkeo[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]Uyu Hata hanisumbui,
Tunaoneshana makali TU, nishazoea mbona[emoji4]
Mwaka wa 3 huu
Huo msongo wote wa mawazo chanzo chake ni nini hasa, bila ya kuangalia alipojikwaa na kuhangaika na alipoangukia ni sawa na anayetwanga maji kwenye kinu tu[emoji28][emoji847]Kodi ya nyumba, mafuta ya gari kila wiki, kodi ya meza kila Siku, kazi amemtafutia, bado ghrama nyingine, halafu una sapoti wizi,
Wewe ndiye uliyemponza na uzi wako wa kula kimasihara, sisi wengine ni watazamaji tu maana kuingia kaingia kiulaini kabisa, shida ni kujitoa ktk huo Mchepuko [emoji2]Jamaa ana mchepuko mmoja lakini daah tabu tunayoipataaa..[emoji3][emoji3][emoji3]