Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Tatizo hakuna,sababu nishatoa....
Ni sawa na kujua mchepuko wa mkeo then unamuuliza mke...hivi wamfahamu mtu fulani.....jibu lake ndiyo litakupa uhakika wa kiburi na hatari ya mkeo
Wanaume wachache sana wanaweza kufanya hivyo. Majority ni kitu chenye ncha kali straight away.
 
Kwa wanaoamini inasemekana Mungu ndiyo hupanga(mapenzi ya Mungu) hivyo yote hayo aliyapanga(if you're a believer) na adhabu alishaziandaa unless tuambiwe kuwa kuna vitu/mambo yako nje ya uwezo wake.
My question: Hilo 'tunda' ni kitu gani/ni tunda la mti gani huo uliokuwa 'katikati ya bustani' ya Aden.
 
Kwa hio yooote yaliyotokea ni mipango yake mwenyewe yaani aliumba mchongo uwe hivyo na ukawa km hivyo si ndio? Basi km ni Mungu alipanga kila kitu binadamu hana kosa ni mipango yake yeye mwenyewe kapanga Hawa ale tunda akalila akapanga liliwe na yule Adamu ikawa hivyo akapanga kuwatimua bustanini ikawa hivyo, tunda wanalolisema halipo kwenye ulimwengu huu limefungiwa
 
Ukiishi kwa kumpendeza Mungu huwezi chukia hilo swali.
Acha uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…