MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Sasa si ujibu yote kwa mpigo.katika swali silipendi ni hili uko wapi? ukijiloga ukajibu, linafuata unafanya nini, uko na nani? kah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si ujibu yote kwa mpigo.katika swali silipendi ni hili uko wapi? ukijiloga ukajibu, linafuata unafanya nini, uko na nani? kah
Ukifika mbinguni kuna Mchungaji utamkuta kwenye tanuru la Moto anakipokea kikombe chake😃😃😃😃Wewe ni hatari.
Mbinguni kuna tanuru la moto tena!Ukifika mbinguni kuna Mchungaji utamkuta kwenye tanuru la Moto anakipokea kikombe chake
Ulikua haujui au unataka kujua?Mbinguni kuna tanuru la moto tena!
Hakuna swali nachukia kwenye maisha yangu kama uko wapi, kwani kuna mahala uniliacha umekuja ukanikosa?katika swali silipendi ni hili uko wapi? ukijiloga ukajibu, linafuata unafanya nini, uko na nani? kah
Vipi unaulizwaga nini⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️Ukweli ndo huu mara tu tukiulizwa swali hili upo wapi? maswali huwa ni mengi sana kichwani.
Ukiwa sehemu hatarishi hapo sasa ndo wasiwasi unakuwa mkubwa unajiuliza hivi kaniona au kaambiwa nilipo.
Inaweza chukua dk1-2 kujibu swali hili mazee.Mara nyingi huwa ni mtego usikurupuke kujibu kama uko
eneo tatanishi mazee.
Imagine Mungu mjuzi wa yote na mwenye uweza wote nikweli alikuwa hamuoni Adamu alipokuwa amejificha? jibu alikuwa anamuona ila ni mtego tu.
kuwa makini kujibu swali hili hasa akiuliza wife /mchepuko!
Mungu atawachoma na kuni wachungaji wengi sana huko mbinguni siku hio unaingia mbingu hutoamini ukiwaona hao wachungaji wanavyounguaHakuna swali nachukia kwenye maisha yangu kama uko wapi, kwani kuna mahala uniliacha umekuja ukanikosa?
na mimi nashangaa!Mbinguni kuna tanuru la moto tena!
Aliwakataza kabla sasa alitaka kupima utii wao na ni wapi wanasikiliza zaidi kati ya Mungu na shetaniYaani hapo ukiingia deep lazima ujiulize maswali mengi sana inamaana yote Mungu alikua anasubiri yatokee kwanza kisha aje kuwasambaratisha? Maana Mungu ni muweza wa yote sasa alishindwaje kumzuia Shetani asimpe Mwanamke tunda pale bustanini kwanini Mungu hakuzuia jambo hilo lisitokee? Inamaana Mungu aliweka mtego makusudi kisha akasubiri wanase?
Babu unashangaa nini nimeshakwambia Mungu ni Side A ya Shetani na Shetani ni Side B ya Mungu hauelewi nini hapo?na mimi nashangaa!
kwann wachungaji ?Mungu atawachoma na kuni wachungaji wengi sana huko mbinguni siku hio unaingia mbingu hutoamini ukiwaona hao wachungaji wanavyoungua
Kwa hio Mungu alimtuma Shetani si ndio?Aliwakataza kabla sasa alitaka kupima utii wao na ni wapi wanasikiliza zaidi kati ya Mungu na shetani
Mungu hana biashara ya kuchoma watu motoBabu unashangaa nini nimeshakwambia Mungu ni Side A ya Shetani na Shetani ni Side B ya Mungu hauelewi nini hapo?
Kwa sababu wanawaongopea wengi sana soma Bibliak
kwann wachungaji ?
wanaongopa nini?Kwa sababu wanawaongopea wengi sana soma Biblia
Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali.
Wewe unajua wanaongopa nini?wanaongopa nini?
Nilikuwa sijui.Ulikua haujui au unataka kujua?
Kwa hiyo wachungaji ni miti isiyo zaa matundaWewe unajua wanaongopa nini?
huwa sipendiSasa si ujibu yote kwa mpigo.