Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Mifano gani sasa, ambayo haina ushahidi
Unataka nianze kurudia upya wewe maswali yangu yamekushinda nimekugonga maswali unashindwa, hujui kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Hujui Yesu alikufa mwaka gani? Huoni km hapa unanipa wakati mgumu wa kukuelewesha vitu vingi hujui?
 
Hebu tafuta ushahidi urudi hapa mkuu, nakusubiri, maandiko uliyotoa hayana uthibitisho wowote, ukijibiwa hivi unatafuta swali lingine, ukijibiwa hivi unatafuta swali lingine
Wewe maswali yangu umesema haujui Yesu alikufa mwaka gani? Haujui na huko kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Haujui, hivi nikikuongeza maswali mengine si utapasuka humu
 
Unataka nianze kurudia upya wewe maswali yangu yamekushinda nimekugonga maswali unashindwa, hujui kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Hujui Yesu alikufa mwaka gani? Huoni km hapa unanipa wakati mgumu wa kukuelewesha vitu vingi hujui?
Mkuu umeshindwa kuthibitisha hoja ya msingi, hilo kubali, maana ungekuwa unajua wewe ungesema miaka 1000 kuzimu ni sawa na siku ngapi, mimi si nimeishindwa.

nimekuambia kuhusu mbinguni kwa ushahidi, kuzimu kuhusu siku haijandikwa kama unajua weka hapo. ili mradi tubaki na hoja yetu ya msingi ambayo bado haujathibitisha kwa masaa matano sasa
 
Wewe maswali yangu umesema haujui Yesu alikufa mwaka gani? Haujui na huko kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Haujui, hivi nikikuongeza maswali mengine si utapasuka humu
Wewe mwenyewe hujui, umeshindwa kuithibithisha hoja yako kwa ushahidi, kwamba Mungu ndio shetani side B, na umekubali kuwa shetani amefungwa, nilitaka unithibitishie hapo kwa namna gani huku awe amefungwa ,huyo huyo huku ni Mungu sawa sawa na hoja yako
 
Mkuu umeshindwa kuthibitisha hoja ya msingi, hilo kubali, maana ungekuwa unajua wewe ungesema miaka 1000 kuzimu ni sawa na siku ngapi, mimi si nimeishindwa.

nimekuambia kuhusu mbinguni kwa ushahidi, kuzimu kuhusu siku haijandikwa kama unajua weka hapo. ili mradi tubaki na hoja yetu ya msingi ambayo bado haujathibitisha kwa masaa matano sasa
Kwa hio wewe unaleta mstari ukiwa haujui maana yake? Ndio maana nakwambia unaokoteza mistari ila maana yake haujui
 
Wewe mwenyewe hujui, umeshindwa kuithibithisha hoja yako kwa ushahidi, kwamba Mungu ndio shetani side B, na umekubali kuwa shetani amefungwa, nilitaka unithibitishie hapo kwa namna gani huku awe amefungwa ,huyo huyo huku ni Mungu sawa sawa na hoja yako
Sijakubari km Shetani amefungwa huoni nimekuuliza hapo ulipo Shetani hayupo? Hivi ulikua unajua namaanisha nini popote ulipo Shetani yupo popote ulipo Side B ya Mungu ipo na Mungu yupo Side A wanakuchora tu, rudi bustanini ukamsome Adamu na Hawa utaelewa Jambo
 
ooh vizuri.

1. Shetani alishindwa kuzuia lile kusudi alilolibeba Yesu, alishindwa kumfanya Yesu aache kutimiza mapenzi ya Mungu.

2. Baada ya Yesu kutimiza kusudi lake, alienda kuzimu katika ngome ya shetani na kuharibu utawala na mamlaka yake, ukisoma kitabu cha ufunuo kinaeleza lile joka(ibilisi) amefungiwa huko kuzimu na ufalme wake ulisha haribiwa.
Kwani mapenzi ya Mungu yalikuwa ni nini ambayo Yesu alikuja kutimiza
 
Yaani hapo ukiingia deep lazima ujiulize maswali mengi sana inamaana yote Mungu alikua anasubiri yatokee kwanza kisha aje kuwasambaratisha? Maana Mungu ni muweza wa yote sasa alishindwaje kumzuia Shetani asimpe Mwanamke tunda pale bustanini kwanini Mungu hakuzuia jambo hilo lisitokee? Inamaana Mungu aliweka mtego makusudi kisha akasubiri wanase?
Kajielimishe dhana ya freewill (utashi-huru).
 
Sijakubari km Shetani amefungwa huoni nimekuuliza hapo ulipo Shetani hayupo? Hivi ulikua unajua namaanisha nini popote ulipo Shetani yupo popote ulipo Side B ya Mungu ipo na Mungu yupo Side A wanakuchora tu, rudi bustanini ukamsome Adamu na Hawa utaelewa Jambo
Yakobo 4:7

[7]Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.

Nilikujibu kuwa nilipo hayupo
 
"Funua mwenge funika kichwa"
shilingi yenye mwenge upande wa pili kuna kichwa.
Mungu alipo ni lazima shetani awepo kupotosha
sasa mjumbe anasema Mungu huyo huyo upande A ni Mungu na upande B ni shetani yaani afanye kazi ya kujipotosha mwenyewe
 
Ukweli ndo huu mara tu tukiulizwa swali hili upo wapi? maswali huwa ni mengi sana kichwani.

Ukiwa sehemu hatarishi hapo sasa ndo wasiwasi unakuwa mkubwa unajiuliza hivi kaniona au kaambiwa nilipo.

Inaweza chukua dk1-2 kujibu swali hili mazee.Mara nyingi huwa ni mtego usikurupuke kujibu kama uko
eneo tatanishi mazee.

Imagine Mungu mjuzi wa yote na mwenye uweza wote nikweli alikuwa hamuoni Adamu alipokuwa amejificha? jibu alikuwa anamuona ila ni mtego tu.

kuwa makini kujibu swali hili hasa akiuliza wife /mchepuko!
😃😃😃😃Wewe ni hatari.
 
Back
Top Bottom