Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Kah! mbona swali unarudia mara kumi kumi?, nimekuambia amefungwa kuzimuJibu swali Shetani amefungwa wapi mboni unataka kukimbia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kah! mbona swali unarudia mara kumi kumi?, nimekuambia amefungwa kuzimuJibu swali Shetani amefungwa wapi mboni unataka kukimbia?
Kwisha habari yako na pale juu umesema siku 1 ya wapi ni sawa na miaka 1000?ndio, amefungwa kuzimu
KuzimuShetani amefungwa wapi?
kwani aliyemfunga ni nani?, na anayehesabu hizo siku za kifungo ni nani?Kwisha habari yako na pale juu umesema siku 1 ya wapi ni sawa na miaka 1000?
Emu rudia kuusoma mstari wako wa Petro labda utakusaidia kituKah! mbona swali unarudia mara kumi kumi?, nimekuambia amefungwa kuzimu
Ule mstari unasemaje kwa Bwana ni wapi? Hivi unaelewa kusoma na kuandika si umesema Mbinguni? Na Shetani umesema kafungwa kuzimu si ndio?kwani aliyemfunga ni nani?, na anayehesabu hizo siku za kifungo ni nani?
Ufunuo wa Yohana 20:3Kwisha habari yako na pale juu umesema siku 1 ya wapi ni sawa na miaka 1000?
Hapa leo kazi ninayo kwa hio kuzimu ndio huko huko Mbinguni si ndio?kwani aliyemfunga ni nani?, na anayehesabu hizo siku za kifungo ni nani?
Nimekuuliza aliyemfunga huko kuzimu ni nani?, si ujibu?Ule mstari unasemaje kwa Bwana ni wapi? Hivi unaelewa kusoma na kuandika si umesema Mbinguni? Na Shetani umesema kafungwa kuzimu si ndio?
Sawa kuzimu na miaka ya 1000 ya kuzimu ni sawa na siku 1 kwa hio kuzimu ndio huko huko Mbinguni?Ufunuo wa Yohana 20:3
[3]akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache.
Rudia tena kusoma hapa mkuu
Wewe ndio unajua nani aliemfunga huko kuzimu wewe si ndio mwenye mstari kwani Mimi ndio nimeleta mstari nionyeshe huyo ni nani aliemfunga miaka 1000 Shetani huko kuzimu, onyesha nioneNimekuuliza aliyemfunga huko kuzimu ni nani?, si ujibu?
ndio maana nimekuambia, unauliza maswali pengine wewe majibu yake huna, nimekujibu huko juu, ulianza kuniuliza Mungu ni nani? nimekujibu vizuri.Hapa leo kazi ninayo kwa hio kuzimu ndio huko huko Mbinguni si ndio?
Hapa leo kazi ninayo ila utanielewa tu kwanza niambie kwa hio kuzimu na Mbinguni hakuna tofauti si ndio?Nimekuuliza aliyemfunga huko kuzimu ni nani?, si ujibu?
nimekuambia kuzimu sio mbinguni, ila amefungwa miaka 1000 kwa hesabu ya mbinguni, ingekuwa hesabu ya duniani kifungo chake kingekuwa kimeisha, kama kuzimu wanahesabu miaka tofauti sijui, ila amefungwa kifungo kwa hesabu ya mbinguniSawa kuzimu na miaka ya 1000 ya kuzimu ni sawa na siku 1 kwa hio kuzimu ndio huko huko Mbinguni?
Nimeshajibu mara nyingi hilo na nimekwambia mara nyingi na nakwambia tena hata ukibisha ila Shetani ni Upande wa Pili wa Mungu, full stopndio maana nimekuambia, unauliza maswali pengine wewe majibu yake huna, nimekujibu huko juu, ulianza kuniuliza Mungu ni nani? nimekujibu vizuri.
labda nikuulizwe swali, shetani ni nani?
Wewe unajitengenezea story ya kwako ndio maana nikakuuliza kuzimu na Mbinguni hakuna tofauti? Unasema haujui maana yake knowledge yako bado ndogo huwezi kujibu maswali magumu km hayo kwa majibu mepesi hivyo tena na tuvimstari vya kuokoteza ili kutetea hojanimekuambia kuzimu sio mbinguni, ila amefungwa miaka 1000 kwa hesabu ya mbinguni, ingekuwa hesabu ya duniani kifungo chake kingekuwa kimeisha, kama kuzimu wanahesabu miaka tofauti sijui, ila amefungwa kifungo kwa hesabu ya mbinguni
umeshindwa kuthibitisha, kwahiyo imebaki kuwa mtazamo wako. Ubarikiwe sanaNimeshajibu mara nyingi hilo na nimekwambia mara nyingi na nakwambia tena hata ukibisha ila Shetani ni Upande wa Pili wa Mungu, full stop
Aisee hiyo mistari sijaokoteza, nimekupa ushahidi wa ninachosema na nilicho na uhakika nacho, ila wewe hata ya kuokoteza basi sijaiona kuthibitisha hilo unalosemaWewe unajitengenezea story ya kwako ndio maana nikakuuliza kuzimu na Mbinguni hakuna tofauti? Unasema haujui maana yake knowledge yako bado ndogo huwezi kujibu maswali magumu km hayo kwa majibu mepesi hivyo tena na tuvimstari vya kuokoteza ili kutetea hoja
Kule juu nimethibitisha unataka nithibitishe mara ngapi na mifano nimekutolea?umeshindwa kuthibitisha, kwahiyo imebaki kuwa mtazamo wako. Ubarikiwe sana
Mifano mingi nimeshaeleza sitaki kurudia rudia kitu hicho hicho tu hujaelewa basi acha ila elewa hivyo Mungu na Shetani ni Pande mbili za Shilingi huku Bichwa na huku MwengeAisee hiyo mistari sijaokoteza, nimekupa ushahidi wa ninachosema na nilicho na uhakika nacho, ila wewe hata ya kuokoteza basi sijaiona kuthibitisha hilo unalosema