Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Mkuu wewe unahisi sielewi au sijui, Mungu ni rohoHahaha mkuu hujaelewa ninachokisema kuhusu Roho au unahisi ulioenda kuzimu ni mwili wa Yesu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe unahisi sielewi au sijui, Mungu ni rohoHahaha mkuu hujaelewa ninachokisema kuhusu Roho au unahisi ulioenda kuzimu ni mwili wa Yesu?
Kwa hio yaan unajifungafunga ntakupiga Swali uzimie mkuu maana mimi sina maswali rahisi km unavyochukulia kwa hio Shetani amefungwa minyororo ila hajafa mpaka sasa bado yupo anaishi huko kuzimu na minyororo yake? Una uhakika?sasa si nimekuwekea na ushahidi wa andiko, nimekuambia huko juu, utawala wa shetani umevurugwa na amefungwa ndio kazi iliyompeleka Yesu kuzimu, leta swali lingine
hapo ndio wanapokosea, ila ulichosema ni kweliKatika kila eneo wako macho sema kwenye kudhibiti michepuko wako active sana
Na Shetani ni nini km Mungu ni roho?Mkuu wewe unahisi sielewi au sijui, Mungu ni roho
Sawa sawa wewe lazima unasema tu, una uhakika na unachosema? Jibu kwanza Shetani ni nini km Mungu ni roho?nimekujibu ndio, joka liko kifungoni miaka buku
piga hayo maswali mkuu, niko na wewe tangu saa nne na saizi ni saa nane kasoro, na sijifungifungi mbona niko wazi kabisa.Kwa hio yaan unajifungafunga ntakupiga Swali uzimie mkuu maana mimi sina maswali rahisi km unavyochukulia kwa hio Shetani amefungwa minyororo ila hajafa mpaka sasa bado yupo anaishi huko kuzimu na minyororo yake? Una uhakika?
kurahisishia ni hivi, shetani ni roho, Mwanadamu ana roho na mwiliNa Shetani ni nini km Mungu ni roho?
Baada ya miaka 1000 watafunguliwa sawa, haya niambie Shetani na Jeshi lake walifungwa mwaka gani na wanafunguliwa mwaka gani?piga hayo maswali mkuu, niko na wewe tangu saa nne na saizi ni saa nane kasoro, na sijifungifungi mbona niko wazi kabisa.
Kukujibu swali lako, jibu ni ndio kwa mujibu wa maandiko amefungwa na jeshi lake, baada ya miaka 1000 watafunguliwa kwa muda mchache
nimekujibu mkuuSawa sawa wewe lazima unasema tu, una uhakika na unachosema? Jibu kwanza Shetani ni nini km Mungu ni roho?
Mungu ni Roho na Shetani ni Rohokurahisishia ni hivi, shetani ni roho, Mwanadamu ana roho na mwili
Mungu ni roho
Ndio twende pale juu tupe miaka mwaka gani Shetani atakua ametoka kifungoni tuambie hapa tujue na sisinimekujibu mkuu
Ukiuliza hivyo nami nitakuuliza kwani Yesu alikufa mwaka gani, Maandiko yanasema watafunguliwa baada ya miaka elfu, itakuwa mwaka gani hilo sijui, uliza swali mkuu mbona unazunguka nenda moja kwa moja pale unataka tufikeBaada ya miaka 1000 watafunguliwa sawa, haya niambie Shetani na Jeshi lake walifungwa mwaka gani na wanafunguliwa mwaka gani?
Mbona unawasiwasi mkuuMungu ni Roho na Shetani ni Roho
Umesema mwenyewe hapo si ndio?
Umesema baada ya mwaka elfu 1 kufanyaje? Mboni unakimbia swali jibu swali Shetani na Jeshi lake watafunguliwa lini mwaka gani na walifungwa lini mwaka gani?Ukiuliza hivyo nami nitakuuliza kwani Yesu alikufa mwaka gani, Maandiko yanasema watafunguliwa baada ya miaka elfu, itakuwa mwaka gani hilo sijui, uliza swali mkuu mbona unazunguka nenda moja kwa moja pale unataka tufike
Nimekwambia usikimbie tu maana mwishoni kuna kutoka Nduki, twende taratibu Mungu ni Roho na Shetani ni Roho, unakubari au unakataa? Nasubiria uingie king nimalize mchezoMbona unawasiwasi mkuu
Nimesema baada ya miaka elfu moja ya kifungo kuisha atafunguliwa, kwa muda mchache kabla hajafungwa kifungo cha milele, sasa watafunguliwa mwaka gani hakuna ajuaye, soma ufunuo 20:1-3 nimekuwekea hapo juu.Umesema baada ya mwaka elfu 1 kufanyaje? Mboni unakimbia swali jibu swali Shetani na Jeshi lake watafunguliwa lini mwaka gani na walifungwa lini mwaka gani?
Kwanza hayo ya huko juu tumekubaliana sio? na kuzimu umeelewa ni wapi si ndio? na umeshajua joka limefungwa yaani namaanisha tumekubaliana?Nimekwambia usikimbie tu maana mwishoni kuna kutoka Nduki, twende taratibu Mungu ni Roho na Shetani ni Roho, unakubari au unakataa? Nasubiria uingie king nimalize mchezo
Mwaka aliokufa Yesu mboni unafahamika, wewe niambie Shetani alifungwa mwaka gani na atafunguliwa mwaka gani? Na hio kufunguliwa baada ya miaka elfu 1 kuanzia wapi?nami nitakuuliza kwani Yesu alikufa mwaka gani
Basi huko naona huwezi kujibu nimekwambia sina maswali mepesi, kwa hio hapo ulipo Shetani hayupo sasa hivi yupo kuzimu kapigwa minyororo mpaka ipite miaka 1000 si ndio?Nimesema baada ya miaka elfu moja ya kifungo kuisha atafunguliwa, kwa muda mchache kabla hajafungwa kifungo cha milele, sasa watafunguliwa mwaka gani hakuna ajuaye, soma ufunuo 20:1-3 nimekuwekea hapo juu.
sawa kama inafahamika vizuri, sasa joka lilifungwa kuanzia hapo, mpaka miaka 1000 kwa hesabu za kimbingu, sio hesabu zetu wanadamu, maana utauliza mbona miaka 1000 imepita bado, hesabu za kimbingu kwa miaka 1000 ikitimia atafunguliwa kwa muda mchacheMwaka aliokufa Yesu mboni unafahamika, wewe niambie Shetani alifungwa mwaka gani na atafunguliwa mwaka gani? Na hio kufunguliwa baada ya miaka elfu 1 kuanzia wapi?