Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Sasa km ni hivyo Yesu alipokufa alienda kufuata nini kule kuzimu? Shetani ndie aliemfuata Yesu wapi? Mboni km unajivuruga mwenyewe maandiko yanasema Yesu baada ya kufa alienda kuzimu (mwenyewe umesema Shetani yupo kuzimu) akaa huko siku 3 baada ya hapo siku ya 3 akafufuka kutoka wafu, hivi unaelewa sijui
Kwamba Yesu alifunga siku 40 hali wala kunywa
kula nini?
kunywa nini ?
Wewe bado sana huelewi, Yesu alipofunga siku 40 akiwa Jangwani bila kula alijaribiwa na Mungu au na Shetani? Shetani yupo kuzimu kwa hio pale jangwani aliekua anamjaribu Yesu ni Mungu mwenyewe sio Shetani? Unasema kwamba

Kwa hio Yesu alitumia mawazo kumuita Shetani ili aje amjaribu au Yesu alimuita na kumshawishi Shetani aje amjaribu akiwa anafunga siku 40?
Kwamba Yesu alifunga siku 40 hali wala kunywa
kula nini ?
kunywa nini ?
unatakiwa utulie hapo usikurupuke
yuko jangwani anajaribiwa na shetani
watu wakimwona yule nyoka wa kwenye movie ya Yule jamaa aliye igiza kama Yesu wanajua yule nyoka ndiyo shetani
Haya mambo ni magumu kweli kweli inahitaji utulivu kujifunza
la sivyo utapigwa chenga sana
 
Shetani alimfuata Yesu kupitia nyoka, kama alivyofanya kwa Adamu kupitia nyoka. Nimesema anatumia ushiwishi wa mawazo ili kukufanya usifanye cha Mungu, na ndio alichofanya alipokuwa anamjaribu Yesu, lengo lilikuwa kumbadilisha Yesu mtazamo kama alivyofanya kwa Hawa lakini hapa alikwama.
Bado unajivuruga nimekuuliza aliyafanya yote hayo akiwa wapi? Hujatoa jibu wapi alipokua Shetani wakati anamjaribu Yesu?
 
Sasa wewe ndio useme si umesema Shetani ndie aliemfuata Yesu niambie Yesu alifuata nini kuzimu?

Niambie kati ya Yesu na Shetani nani alimfuata mwenzake kuzimu?
ooh kumbe hujui, Yesu alishuka kumnyang'anya mamlaka ya utawala wake na kuurudisha kwa mwadamu.

Ufunuo wa Yohana 5:9-10

[9]Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,

[10]ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Zingatia mstari wa 10, kwahiyo baada ya hapo mamlaka kamili iko chini ya mwanadamu juu ya shetani, ndicho Yesu alichoenda kufanya kuzimu, sio kama unavyosema wewe
 
Kwamba Yesu alifunga siku 40 hali wala kunywa
kula nini?
kunywa nini ?

Kwamba Yesu alifunga siku 40 hali wala kunywa
kula nini ?
kunywa nini ?
unatakiwa utulie hapo usikurupuke
yuko jangwani anajaribiwa na shetani
watu wakimwona yule nyoka wa kwenye movie ya Yule jamaa aliye igiza kama Yesu wanajua yule nyoka ndiyo shetani
Haya mambo ni magumu kweli kweli inahitaji utulivu kujifunza
la sivyo utapigwa chenga sana
Maswali fikirishi ni mengi ya kujiuliza ukijiuliza sana unajikuta unahama mstari wa pambizo taratibu km sio wewe vile
 
ooh kumbe hujui, Yesu alishuka kumnyang'anya mamlaka ya utawala wake na kuurudisha kwa mwadamu.

Ufunuo wa Yohana 5:9-10

[9]Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,

[10]ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Zingatia mstari wa 10, kwahiyo baada ya hapo mamlaka kamili iko chini ya mwanadamu juu ya shetani, ndicho Yesu alichoenda kufanya kuzimu, sio kama unavyosema wewe
Hahaha kwa hio umekubari kwamba Yesu alishuka kuzimu na sio Shetani aliyeshuka kuzimu? Maana nimekuuliza kati ya Yesu na Shetani nani aliemfuata mwenzie kuzimu? Wewe ulisema kwamba
Yesu hakupita kwa Shetani, ila shetani ndiye aliyemfuata
Na huo mstari umeniletea wa nini na ushasema kwamba Shetani ndie aliemfuata Yesu kuzimu?
 
Bado unajivuruga nimekuuliza aliyafanya yote hayo akiwa wapi? Hujatoa jibu wapi alipokua Shetani wakati anamjaribu Yesu?
Kwani si nimekuambia alimfuata Yesu alipokuwa jangwani, hata Hawa alikuwa Bustanini shetani akamfuata huko, Ayubu alienda kujihudhurisha mbele za Mungu ingekuwa leo tungesema alienda kanisani shetani akamfuata. Wapi haujaelewa mkuu
 
ooh kumbe hujui, Yesu alishuka kumnyang'anya mamlaka ya utawala wake na kuurudisha kwa mwadamu.

Ufunuo wa Yohana 5:9-10

[9]Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,

[10]ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Zingatia mstari wa 10, kwahiyo baada ya hapo mamlaka kamili iko chini ya mwanadamu juu ya shetani, ndicho Yesu alichoenda kufanya kuzimu, sio kama unavyosema wewe
Ifike Mwisho uelewa huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani, Mungu ni Side A na Shetani ni Side B ila wote ni wamoja full stop
 
Hahaha kwa hio umekubari kwamba Yesu alishuka kuzimu na sio Shetani aliyeshuka kuzimu? Maana nimekuuliza kati ya Yesu na Shetani nani aliemfuata mwenzie kuzimu? Wewe ulisema kwamba

Na huo mstari umeniletea wa nini na ushasema kwamba Shetani ndie aliemfuata Yesu kuzimu?
Mkuu wewe ndiye unajichanganya sasa, soma uelewe, Yesu alipofunga siku 40, shetani alimfuata huko jangwani, Adam na Hawa wakifuatiwa na shetani kupitia Nyoka kule Bustanini, Yesu aliposhinda mauti alimfuata Shetani huko huko kuzimu kwake na kumnyang'anya mamlaka yake. wapi hujaelewa tena
 
Kwani si nimekuambia alimfuata Yesu alipokuwa jangwani, hata Hawa alikuwa Bustanini shetani akamfuata huko, Ayubu alienda kujihudhurisha mbele za Mungu ingekuwa leo tungesema alienda kanisani shetani akamfuata. Wapi haujaelewa mkuu
Umesema Shetani yupo kuzimu emu soma mwenyewe
shetani yuko kuzimu
Nimekuuliza huko kuzimu ni wapi? Hujajibu unaweza wewe muda huu ukawa upo kuzimu na haujui km upo kuzimu
 
Mkuu wewe ndiye unajichanganya sasa, soma uelewe, Yesu alipofunga siku 40, shetani alimfuata huko jangwani, Adam na Hawa wakifuatiwa na shetani kupitia Nyoka kule Bustanini, Yesu aliposhinda mauti alimfuata Shetani huko huko kuzimu kwake na kumnyang'anya mamlaka yake. wapi hujaelewa tena
Kwa hio Shetani yupo kuzimu au shetani yupo wapi mboni unajivuruga? Wewe umesema Shetani yupo wapi? Soma ulichoandika hapa
shetani yuko kuzimu, shetani hana access ya mwanadamu moja kwa moja ni mpaka apate ushirika kutoka kwa mwanadamu na atumia ushawishi kupitia mawazo kama alivyofanya kwa Adamu na Eva.
Halafu jiulize tena ulichoandika je upo sahihi kuhusu mtazamo wako kuhusu Shetani maana hata muda huu hapo ulipo Shetani yupo na anakuona kila unachokifanya
 
Hapana bado haujaweka ushahidi wa kuthibitisha hoja yako, ni mawazo na mtazamo wako
Umesema kwamba
mpaka kwa wanafunzi wa Yesu lakini shetani alishindwa
Hivi ulichokiandika hapa umekielewa

Maandiko yanasema lakini Shetani akamuingia Yuda ....

Yesu akamwambia : Yuda unamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?

Sasa wewe unakuja kutupea uongo gani wa kutunga hapa? Ndio maana nikakuuliza ule mtihani wa Mwisho ulifaulu vipi?
 
Umesema Shetani yupo kuzimu emu soma mwenyewe

Nimekuuliza huko kuzimu ni wapi? Hujajibu unaweza wewe muda huu ukawa upo kuzimu na haujui km upo kuzimu
Kuzimu

Isaya 14:15
[15]Lakini utashushwa mpaka kuzimu;
Mpaka pande za mwisho za shimo.

Yet thou shalt be brought down to hell, to the sides of the pit.
 
shetani yuko kuzimu, shetani hana access ya mwanadamu moja kwa moja ni mpaka apate ushirika kutoka kwa mwanadamu na atumia ushawishi kupitia mawazo kama alivyofanya kwa Adamu na Eva.
Hapo unazungumza Side B ya Mungu mwenyewe kila ulichokiandika kinamuhusu Mungu mwenyewe Engineer wa Shetani na ushetani ni Mungu mwenyewe yeye ndiye anaejua yote yaliyo Nuruni na yaliyo Gizani ni Mungu mwenyewe, ushetani wa Shetani unaouita ushetani umeumbwa na Mungu mwenyewe kwa hio ndio maana nakwambia Mungu ni Side A na Shetani ni Side B ili umfikie Mungu lazima upite kwa Shetani ni sawa na Tape ya Redio Cassette ina Side A na Side B sasa ile Side B ndio hii ya Shetani na Side A ni Mungu ila wote ni kitu hiki kimoja, unatakiwa utulie kulielewa hili nimekupa mfano rahisi mno
 
Umesema kwamba

Hivi ulichokiandika hapa umekielewa

Maandiko yanasema lakini Shetani akamuingia Yuda ....

Yesu akamwambia : Yuda unamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?

Sasa wewe unakuja kutupea uongo gani wa kutunga hapa? Ndio maana nikakuuliza ule mtihani wa Mwisho ulifaulu vipi?
wewe umetoa mfano wa Yuda nasema hivi, shetani aliwatumia wanafunzi wa Yesu ili kumuangusha lakini Shetani alishindwa, hapo umeelewa ee!! achana na Yuda shetani alimtumia hata Petro, si unakumbuka kwa Ayubu shetani alimtumia mke wa Ayubu ili Ayubu amkufuru Mungu. Vivyo hivyo kwa Yesu shetani alishindwa
 
Hapo unazungumza Side B ya Mungu mwenyewe kila ulichokiandika kinamuhusu Mungu mwenyewe Engineer wa Shetani na ushetani ni Mungu mwenyewe yeye ndiye anaejua yote yaliyo Nuruni na yaliyo Gizani ni Mungu mwenyewe, ushetani wa Shetani unaouita ushetani umeumbwa na Mungu mwenyewe kwa hio ndio maana nakwambia Mungu ni Side A na Shetani ni Side B ili umfikie Mungu lazima upite kwa Shetani ni sawa na Tape ya Redio Cassette ina Side A na Side B sasa ile Side B ndio hii ya Shetani na Side A ni Mungu ila wote ni kitu hiki kimoja, unatakiwa utulie kulielewa hili nimekupa mfano rahisi mno
Hakuna mahali nimesema au panathibitisha hilo, labda ni mawazo yako mkuu
 
wewe umetoa mfano wa Yuda nasema hivi, shetani aliwatumia wanafunzi wa Yesu ili kumuangusha lakini Shetani alishindwa, hapo umeelewa ee!! achana na Yuda shetani alimtumia hata Petro, si unakumbuka kwa Ayubu shetani alimtumia mke wa Ayubu ili Ayubu amkufuru Mungu. Vivyo hivyo kwa Yesu shetani alishindwa
Km kweli alishindwa kwa nini Yesu alimfuata kuzimu Shetani? Umesema alienda kumfanya nini?

Petro aliambiwa: Nenda nyuma yangu Shetani

Sasa turudi hapo kwenye kuzimu na kushindwa kwa Shetani unasema Shetani alishindwa nini wakati alishinda kwa kupitia Yuda Eskariote
 
Back
Top Bottom