Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
atajibiwa kwani niko msituni?na wakati bado unajiumauma unaulizwa,
"mbona nasikia sauti za wanawake hapo?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atajibiwa kwani niko msituni?na wakati bado unajiumauma unaulizwa,
"mbona nasikia sauti za wanawake hapo?"
Hapana mkuu wewe hujasoma vizuri soma vizuri kwa kutulia, hio ni planned script ya Mungu mwenyewe yeye ndio engineer wa kila kitu yeye ndie Nuru yeye ndie Giza maana aliumba vyote na yupo kote yeye ndie Mungu na yeye ndie Shetani maana alimuumba Shetani, inafikirisha sana hii ushetani wote wa Shetani umeumbwa na Mungu mwenyewe maana yake Shetani ni Side B ya Mungu mwenyeweSheani alikuwa anamwambia ukweli kuwa watakuwa kama mungu kama mungu mwenyewe alivyo sema kwenuye aya ile ya 22 na aya ya 23 akachukua uamzi wa kumtimua mwanadamu mle busatanini
Viburi hivyo .. ,😄😄Kuna watu walikuwa wanamjibu Mungu kama nini sijui. Kuna mmoja kama sio Abeli au Kaini aliulizwa na Mungu, mwenzako yu wapi?
Akajibu, unaniuliza mimi kwani huwa natembea naye?
Ndio maana nakuambia Shetani ni Side B ya Mungu yaan huwezi kwenda kwa Mungu Side A bila kupitia kwa Shetani Side B, unanielewa vizuri sijui? Inafikirisha sana na hii au hilo pia unapingana nalo? Na hapo kwenye lengo umekosea lengo sio hilo lengo ni kuchambua zipi pumba na upi ni mchele ila Mungu na Shetani lao moja namaanisha Mungu na Shetani ni kitu kimoja, tafakari km unabisha sema nikuthibitishie17, shetani anadili na wanaoshika amri za Mungu, lengo lake ni kutaka kuona hakuna anayemtii Mungu.
Kwamba Mungu anajipinga mwenyewe ndio unachotaka kusema, unamaanisha Mungu ndio shetani mwenyewe? utakuwa hauko serious, haya weka hoja hapo maana mimi nimewekaNdio maana nakuambia Shetani ni Side B ya Mungu yaan huwezi kwenda kwa Mungu Side A bila kupitia kwa Shetani Side B, unanielewa vizuri sijui? Inafikirisha sana na hii au hilo pia unapingana nalo?
Unakuja kwenye kiini kumbe unajua halafu unajifanya hujui nimesema hivi huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani, Yesu mwenyewe alipita kwa Shetani akajaribiwa akiwa anafunga Siku 40 kule jangwani kwa mujibu wa mafundisho yanavyosema, hapo umenielewa ninaposema huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani? Maana yake Mungu ni Side A na Shetani ni Side B, ukiangalia kwa uzuri kwa kutumia akili zako vizuri utaligundua hilo kwa kutoka nje na kutafakari, 'Geuza jiwe kua mkate km wewe kweli ni mwana wa Mungu' Shetani alimwambia hivyo Yesu akamwambia Fahari yote ya Dunia amepewa Yeye Shetani anachotakiwa Yesu ni kumsujudia tu ampe kila kitu cha Dunia, hivi unanielewa ninaposema Side A na Side B?Kwamba Mungu anajipinga mwenyewe ndio unachotaka kusema, unamaanisha Mungu ndio shetani mwenyewe? utakuwa hauko serious, haya weka hoja hapo maana mimi nimeweka
kama ni mtazamo huo naupinga, shetani yupo pale kusababisha watu wasifuate vya Mungu, ila wafuate vyake, wakomsujudia wana pata mali za duniani
Hapana, mtazamo wako ni potofu, Mungu yuko mbinguni na miguu yake iko duniani, Na duniani ni mahali pa milki ya mwanadamu ambapo Mungu alimpa, shetani yuko kuzimu, shetani hana access ya mwanadamu moja kwa moja ni mpaka apate ushirika kutoka kwa mwanadamu na atumia ushawishi kupitia mawazo kama alivyofanya kwa Adamu na Eva.Unakuja kwenye kiini kumbe unajua halafu unajifanya hujui nimesema hivi huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani, Yesu mwenyewe alipita kwa Shetani akajaribiwa akiwa anafunga Siku 40 kule jangwani kwa mujibu wa mafundisho yanavyosema, hapo umenielewa ninaposema huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani? Maana yake Mungu ni Side A na Shetani ni Side B, ukiangalia kwa uzuri kwa kutumia akili zako vizuri utaligundua hilo kwa kutoka nje na kutafakari, 'Geuza jiwe kua mkate km wewe kweli ni mwana wa Mungu' Shetani alimwambia hivyo Yesu akamwambia Fahari yote ya Dunia amepewa Yeye Shetani anachotakiwa Yesu ni kumsujudia tu ampe kila kitu cha Dunia, hivi unanielewa ninaposema Side A na Side B?
Nilikua nakuchora tu unavyojivuruga rudi kwa katekista akakufundushe vizuri ulipitapitaje ule mtihani wa Mwisho?Hapana, mtazamo wako ni potofu, Mungu yuko mbinguni na miguu yake iko duniani, Na duniani ni mahali pa milki ya mwanadamu ambapo Mungu alimpa, shetani yuko kuzimu, shetani hana access ya mwanadamu moja kwa moja ni mpaka apate ushirika kutoka kwa mwanadamu na atumia ushawishi kupitia mawazo kama alivyofanya kwa Adamu na Eva.
Kwamba huwezi kwenda kwa Mungu mpaka upitie kwa Shetani hiyo ni hapana, Yesu anasema mimi ni njia ya kweli na uzima yeye atakaye kwenda kwa Baba hawezi bila ya Mimi.
Yesu hakupita kwa Shetani, ila shetani ndiye aliyemfuata ili amuangushe akashindwa face to face Bibilia inasema akamuacha kwa muda, maana yake alikuwa anaenda kujipanga tena, akatumia mafarisayo na makuhani mpaka kwa wanafunzi wa Yesu lakini shetani alishindwa, ninarudia pale juu, shetani yuko Bize kumzuia mwanadamu asimtii Mungu
weka hoja mkuu, hapa kateksta hausiki,mbona unakimbiaNilikua nakuchora tu unavyojivuruga rudi kwa katekista akakufundushe vizuri ulipitapitaje ule mtihani wa Mwisho?
Tuanzie hapo Kanuni ya Imani ya Mitume ni Sala kuna sehemu inasema Yesu baada ya kufa 'akashuka kuzimu, siku ya 3 akafufuka' unaijua? Inamaana Yesu alipita kwa Shetani au pia hilo unabisha?shetani yuko kuzimu
Wewe bado sana huelewi, Yesu alipofunga siku 40 akiwa Jangwani bila kula alijaribiwa na Mungu au na Shetani? Shetani yupo kuzimu kwa hio pale jangwani aliekua anamjaribu Yesu ni Mungu mwenyewe sio Shetani? Unasema kwambaKwamba huwezi kwenda kwa Mungu mpaka upitie kwa Shetani hiyo ni hapana, Yesu anasema mimi ni njia ya kweli na uzima yeye atakaye kwenda kwa Baba hawezi bila ya Mimi.
Kwa hio Yesu alitumia mawazo kumuita Shetani ili aje amjaribu au Yesu alimuita na kumshawishi Shetani aje amjaribu akiwa anafunga siku 40?shetani hana access ya mwanadamu moja kwa moja ni mpaka apate ushirika kutoka kwa mwanadamu na atumia ushawishi kupitia mawazo
Sasa km ni hivyo Yesu alipokufa alienda kufuata nini kule kuzimu? Shetani ndie aliemfuata Yesu wapi? Mboni km unajivuruga mwenyewe maandiko yanasema Yesu baada ya kufa alienda kuzimu (mwenyewe umesema Shetani yupo kuzimu) akaa huko siku 3 baada ya hapo siku ya 3 akafufuka kutoka wafu, hivi unaelewa sijuiYesu hakupita kwa Shetani, ila shetani ndiye aliyemfuata
Yuda unamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu? Nani amekwambia Shetani alishindwa? Wewe bado sana soma tena mkuu mambo si mepesi kihivyo km unavyoyachukuliakwa wanafunzi wa Yesu lakini shetani alishindwa
Yupo bize akiwa wapi umesema Shetani yupo kuzimu kwa hio Shetani anafanya hivyo akiwa wapi kuzimu au wapi? Km akiwa kuzimu niambie kuzimu ni wapi? Unaweza ukajikuta wewe muda huu upo kuzimu na haujui km upo kuzimu mpaka sasashetani yuko Bize kumzuia mwanadamu asimtii Mungu
Haya niambie Shetani anafanya hayo yote akiwa wapi? Maana nakwambia Shetani ni Side B ya Mungu unabishashetani yuko kuzimu
alienda kufanya nini kuzimuTuanzie hapo Kanuni ya Imani ya Mitume ni Sala kuna sehemu inasema Yesu baada ya kufa 'akashuka kuzimu, siku ya 3 akafufuka' unaijua? Inamaana Yesu alipita kwa Shetani au pia hilo unabisha?
Sasa wewe ndio useme si umesema Shetani ndie aliemfuata Yesu niambie Yesu alifuata nini kuzimu?alienda kufanya nini kuzimu
Niambie kati ya Yesu na Shetani nani alimfuata mwenzake kuzimu?Yesu hakupita kwa Shetani, ila shetani ndiye aliyemfuata
Shetani alimfuata Yesu kupitia nyoka, kama alivyofanya kwa Adamu kupitia nyoka. Nimesema anatumia ushiwishi wa mawazo ili kukufanya usifanye cha Mungu, na ndio alichofanya alipokuwa anamjaribu Yesu, lengo lilikuwa kumbadilisha Yesu mtazamo kama alivyofanya kwa Hawa lakini hapa alikwama.Wewe bado sana huelewi, Yesu alipofunga siku 40 akiwa Jangwani bila kula alijaribiwa na Mungu au na Shetani? Shetani yupo kuzimu kwa hio pale jangwani aliekua anamjaribu Yesu ni Mungu mwenyewe sio Shetani? Unasema kwamba
Kwa hio Yesu alitumia mawazo kumuita Shetani ili aje amjaribu au Yesu alimuita na kumshawishi Shetani aje amjaribu akiwa anafunga siku 40?
Ukiambiwa jambo tuliza umakini makinika huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa Shetani Biblia haijafungwa ipo wazi kabisa ni wewe kuisoma kwa jicho la roho sio jicho la nyamaalienda kufanya nini kuzimu