Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Hiyo stori bwana inachekesha! Adamu akamjibu Mungu, Si huyu mwanamke uliyenipa amenidanganya nimekula tunda"
🤣🤣
Badala ajibu niko hapa, anamletea Mungu blah blah
Kwani ni wapi mwanaume huwa anakubali kosa? Mkuu utata ulianzia hapa badala ya kunyooka kujibu alianza lawama kwanza kupunguza makali ya swali la Mungu. :HAHAHA:
 
Kah! kwani wao walishindwaje kutii alichowaambia?
Kutii kwani yeye alikua hamuoni Shetani anavyowarubuni akaweza kumzuia au yeye ndie aliemtuma Shetani kwa kumprogam hivyo? Unajua kuna maswali ukienda deep na kujiuliza kwamba huyu Mungu imewezekana vipi ikiwa yeye ni Mwanzo na Mwisho Alpha na Omega mjuvi wa vyote muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana alishindwa vipi kuzuia tukio dogo km lile la kumzuia Shetani asimpe tunda yule Mwanamke akaacha ampe kwanza ale yeye anawachora tu akaacha Mwanamke akabeba tunda na kulipeleka kwa Adamu Mungu akasubiri mpaka Adamu ale kwanza ndio aje kuwasanua kwamba Adamu weee upo wapi?
 
Kutii kwani yeye alikua hamuoni Shetani anavyowarubuni akaweza kumzuia au yeye ndie aliemtuma Shetani kwa kumprogam hivyo? Unajua kuna maswali ukienda deep na kujiuliza kwamba huyu Mungu imewezekana vipi ikiwa yeye ni Mwanzo na Mwisho Alpha na Omega mjuvi wa vyote muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana alishindwa vipi kuzuia tukio dogo km lile la kumzuia Shetani asimpe tunda yule Mwanamke akaacha ampe kwanza ale yeye anawachora tu akaacha Mwanamke akabeba tunda na kulipeleka kwa Adamu Mungu akasubiri mpaka Adamu ale kwanza ndio aje kuwasanua kwamba Adamu weee upo wapi?
Kwahiyo ulitaka awalazimishe kutii kile alichowakataza? katika maisha yako unayoishi mtoto asiyekutii utataka aendelee kukaa kwako? je wewe ndiye utakuwa umesababisha kuto tii kwake? Mungu amewakataza msifanye hivi bado wakafanya kwa kisingizio cha kudanganywa wakat walikuwa na uwezo wa kukataa, meambiwa usizini, usiue, usiibe, wewe ukashawishika kuiba ukakutana na wananchi wenye hasira kali unaanza kumlaumu Mungu? umefumaniwa na mke wa Mtu ukaliwa kiboga unamlaumu Mungu kwanini hakuzuia usiliwe kiboga ili hali wewe ndiye uliyekosea?
 
Hiyo stori bwana inachekesha! Adamu akamjibu Mungu, Si huyu mwanamke uliyenipa amenidanganya nimekula tunda"
🤣🤣
Badala ajibu niko hapa, anamletea Mungu blah blah
Yaani mshikaji God alikuwa anamsnitch mwanetu Adam maana si kwamba hajui kuwa mwamba alikuwa amemaliza kula papuchi na amejificha ndichi anakumbukia utamu Ila bado anamuuliza uko wapi bob
 
Kwahiyo ulitaka awalazimishe kutii kile alichowakataza? katika maisha yako unayoishi mtoto asiyekutii utataka aendelee kukaa kwako? je wewe ndiye utakuwa umesababisha kuto tii kwake? Mungu amewakataza msifanye hivi bado wakafanya kwa kisingizio cha kudanganywa wakat walikuwa na uwezo wa kukataa, meambiwa usizini, usiue, usiibe, wewe ukashawishika kuiba ukakutana na wananchi wenye hasira kali unaanza kumlaumu Mungu? umefumaniwa na mke wa Mtu ukaliwa kiboga unamlaumu Mungu kwanini hakuzuia usiliwe kiboga ili hali wewe ndiye uliyekosea?
Hapa naona akili zetu hazifanani toka nje ya box ndio utanielewa vizuri
 
Hiyo stori bwana inachekesha! Adamu akamjibu Mungu, Si huyu mwanamke uliyenipa amenidanganya nimekula tunda"
🤣🤣
Badala ajibu niko hapa, anamletea Mungu blah blah
Kuna watu walikuwa wanamjibu Mungu kama nini sijui. Kuna mmoja kama sio Abeli au Kaini aliulizwa na Mungu, mwenzako yu wapi?
Akajibu, unaniuliza mimi kwani huwa natembea naye?
 
Hapa naona akili zetu hazifanani toka nje ya box ndio utanielewa vizuri
Hoja iko kwenye utii, sio nje ya box kufanya nini huko nje ya box mkuu, Adamu alikosa utii, na sio kwamba it was planned Kama unavyoamini, tena shetani alitegea muda ambao yuko Hawa peke yake, jiulize kwanini shetani hakuenda kwa Adamu? Isaya 1:19, Ukitii utakula mema ya nchi, ukikaidi utaangamia
 
Back
Top Bottom