Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
mkuu una usingizi itakuwa, hilo swali nimeshalijibu, au yameisha?Basi huko naona huwezi kujibu nimekwambia sina maswali mepesi, kwa hio hapo ulipo Shetani hayupo sasa hivi yupo kuzimu kapigwa minyororo mpaka ipite miaka 1000 si ndio?
Haujathibitisha hoja yako kuwa Mungu ndiye shetani side B usisahu tulikotoka, na ninategemea tuko kwenye hoja hiyo usihame