Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Sawa mnitukane sina hela.
Vibinti tu ya 20+ yrs.
Mmoja akawa anampa mfano wa jinsi nyumba aliyekuwa amewekwa rafiki yake na bwana yake (mme wa mtu) alitoka kapa bila ya kupata kitu baada ya huyo mwamba kufariki.
So akawa anamwambia kila kitu anachokupa kiwe katika jina lako kisheria pia ahakikishe kwa namna yoyote awe ana umiliki wa asset yoyote ya kila bwana anaekuwa nae sio tu kugawa mapenzi tu kirahi rahisi.
The point ni kuwa, huyu mchepuko ni malaya, hio raha unayoigharamia kuna fala anakula bure kabisa.
Reallity ni kuwa mchepuko unaishi nae kihuni huni na kisela sela basi mmalizane kihuni huni, ila unapofanya malaya pua zake kuwa karibu na possession na utu wako kiujumla basi you are the embarrassment of the century.
Vibinti tu ya 20+ yrs.
Mmoja akawa anampa mfano wa jinsi nyumba aliyekuwa amewekwa rafiki yake na bwana yake (mme wa mtu) alitoka kapa bila ya kupata kitu baada ya huyo mwamba kufariki.
So akawa anamwambia kila kitu anachokupa kiwe katika jina lako kisheria pia ahakikishe kwa namna yoyote awe ana umiliki wa asset yoyote ya kila bwana anaekuwa nae sio tu kugawa mapenzi tu kirahi rahisi.
The point ni kuwa, huyu mchepuko ni malaya, hio raha unayoigharamia kuna fala anakula bure kabisa.
Reallity ni kuwa mchepuko unaishi nae kihuni huni na kisela sela basi mmalizane kihuni huni, ila unapofanya malaya pua zake kuwa karibu na possession na utu wako kiujumla basi you are the embarrassment of the century.