Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

[emoji3516]
HAKUNA CHOCHOTE!!!

TUNAJUA KUWA CHA MOTO UNAKIONA,
UNATUSETI NA SISI TUKIONE CHA MTEMA_KUNI.
 
Ukiangalia tu commet unajua akili za watu zilivyozoea habari mbaya kuhusu ndoa.

ni ujinga kudhani ndoa zote zinashida,nzuri zipo sana,lakini unasikia mbaya kwakua ndicho unachotaka kusikia,na utaendelea hivyo hivyo.

By the way mkuu hongera sana kwa kupata mke mzuri,kula maisha.
 
[emoji3516]
HAKUNA CHOCHOTE!!!

TUNAJUA KUWA CHA MOTO UNAKIONA,
UNATUSETI NA SISI TUKIONE CHA MTEMA_KUNI.
Nikuseti ili nigundue nini mzee we pambana na hao viswaswadu wako, unaokoteza okoteza makorokoro ukijua wanawake wote wapuuzi
 
Acha kutuvunja moyo sisi tunaoishi huku nje ya nchi mkuu.
 
Sasa ndoa ina mwaka tu unakuja kuleta ushuhuda humu [emoji38]
mwambie huyo, yangu ilianza kama hivo wife usiku apiga kanga ya mombasa na vishnga kazaa kiunoni, babababa kwa hivi niko nae hapa keshapiga pensi zito tite na pichu jumlisha na gagulo ,yani ndoa hizi we acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…