mataaaaaaa
Member
- Sep 18, 2021
- 17
- 19
Mkuu hukumkuta bikra na bado ulisubir ndoa ndo ukaonja!!!!! Mungu tunusuru Waja wakoHapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hukumkuta bikra na bado ulisubir ndoa ndo ukaonja!!!!! Mungu tunusuru Waja wakoHapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Jifunze kiswahili kijana, tofautisha lawama na taarifa.Asa umekuja kulalamikia nin huku nyambafu
Ulitoa mahari kweli au ulipewa bure. Kama ulitoa mahari. Nenda kadai chapuNdugu zangu salam sana, nina mwanamke niliyemuoa takriban mwaka sasa. Shida imejitokeza, tangu nimuoe hataki tufanye tendo nyakati za mchana, atatoa kisingizio chochote cha kuumwa ili mradi asiliwe mchana. Ikifika usiku pia hataki mwanga wa taa yeyote tunapofanya tendo. Ninashindwa kumuelewa, ndivyo alivyo? au kuna kitu anakifanya na kunificha bila mimi kujua? Msaada wa mawazo please.