Tangu nimuoe hataki tufanye tendo la ndoa nyakati za mchana

Tangu nimuoe hataki tufanye tendo la ndoa nyakati za mchana

Ndugu zangu salam sana, nina mwanamke niliyemuoa takriban mwaka sasa. Shida imejitokeza, tangu nimuoe hataki tufanye tendo nyakati za mchana, atatoa kisingizio chochote cha kuumwa ili mradi asiliwe mchana. Ikifika usiku pia hataki mwanga wa taa yeyote tunapofanya tendo. Ninashindwa kumuelewa, ndivyo alivyo? au kuna kitu anakifanya na kunificha bila mimi kujua? Msaada wa mawazo please.
Ongea nae tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huwa nyie ndo wale mnaambiwa na wake zenu toka chumban navaa au?maana nahc hujawah kuuona mwli wake akiwa uchi.....nnachojua hapo huyo mwanamke aidha pussy imeshatumika hadi mashavu yanatepetaa au ana vidondq kweny boobs & other parts ambavyo vinamfanya asijiamini
 
Nachojua wanawake wenye aibu hujifunika wao usoni,yaani utamla mchana ila akiwa amejiziba uso wake kwa mikono, mto au nguo ili afunike macho yake,, Sasa huyo huenda kuna kitu anaficha wewe usikione ktk mwili wake
 
Mkituonja na sisi tunapata jibu kama tufunge pingu za maisha ama tuendelee kutafuta

Wanaume walivyo wachache usipoonja unaweza kujikuta unaolewa na mwenye mashine inaamka mara moja kwa mwezi
..ni kweli..pia shida inaweza kuwa kwenu mademu.. mfano mi demu niliyetaka kuoa nlimkuta hajawahi kukojoa alipotiwa...tangu ameanza kutiwa...nikawa namtia anakojoa mara dufu..huyu unadhani atanichukuliaje...maana imekua kawaida Sasa Kila nikimtia lazima adai nimkojoleshe....zamani kabla hajaolewa alikua anaingiziwa majiti anakojolewa inatoka ....
 
Ni kabila gani huyo mkeo kama ni kurya,singidani,manyara na huko umasaini ana ona aibu usione kisiki kilichobaki baada ya kufyekwa kinanilii.
 
Back
Top Bottom