Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

asante mkuu nmefikiria kuondoka mimi sababu tunaishi nyumba ya kupanga kuna kiwanja nilinunua kwa ajili ya ujenzi ila nmeishia kumwaga tofali tu kwanza
bora wewe ata umeweza mwaga tofali sie wengine tunaishia kusafisha kiwanja tuu. hela zikifika million threesome inaondoka nazo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kuondoka sio solution mkuu. Cha msingi kaa nae umwambie kama mume kila mtu abaki na majukumu yake. Wewe kama mume utaendelea kuprovide matumizi na yeye kama mke aendelee na majukumu yake haijalishi unashinda nyumbani au vipi as long as matumizi unatoa.

Na inabidi usimame kama mume kipindi hiki maana ukitetereka kidogo tuu utaonja joto ya jiwe mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee hawa wanawake wakishakuona huna kazi na ndalama haziingi lazima uzione rangi zao halisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
hapo cha kufanya mwanawane ni kufukuza tuu maana mwanamke mara mia atombwe huko nje lakini sio kuleta dharau wakati mwanawane u are down. piga chini fasta
Nijweli, Vijana tunatamiwa kabla ya kuoa inabidi mpenzi wako akuzoee ukiwa hauna pesa na akukute hauna kipato kizuri ili umjue tabia mapema

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi issue yako ni kama yangu, yalinishinda nikaamua kumchana live arudi kwao. Aniache kwanza nijitafakari. Sawa sina kazi kwa sasa lakini nahudumia familia kwa kila kitu.

Dharau ni kitu sipendi kutoka kwa mwanamke. Bora nikae peke yangu kuliko kukaa na mtu anae kudharau ndani.

Sasa hvi yupo kwao pamoja na watoto na hvi ni likizo. huku mimi nipo naishi kibachela naendelea kujipanga upya namna ya kupambana na maisha. I believe nitatoboa tu.
 
Tatizo ulilikaribisha mwenyewe ulipo oa mchaga wa Vunjo. Mimi huwa nawauliza Sana vijana.
Kwenu hakuna warembo mpaka mkaoe kwa watu?
Ukiwa msambaa, oa msambaa mwenzio hata mbondei, mdigo na mzigua usiguse.
Ukiwa mpare wa usangi, kaoe usangi achana na dada zetu wa Same.
Usioe kwa sababu ya tako. Oa asiye na yako lkn mwenye busara.
Wenye mijitako wako tele Dar. Unajipigia mwenye tako mchana jioni Benet na wife flat screen.
Point noted, wadau Same na Dar kuna traako kubwa kubwaz.

Ila mwanamke ni mpokeaji tu sasa akianza kuwa mtoaji, jua atatoa hadi na matatizo pia.
 
Kuondoka sio solution mkuu. Cha msingi kaa nae umwambie kama mume kila mtu abaki na majukumu yake. Wewe kama mume utaendelea kuprovide matumizi na yeye kama mke aendelee na majukumu yake haijalishi unashinda nyumbani au vipi as long as matumizi unatoa.
Na inabidi usimame kama mume kipindi hiki maana ukitetereka kidogo tuu utaonja joto ya jiwe mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawajua mabinti wa kichagga wewe?
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Ngoja naye yakimpata umbadilikie atie akilini
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?

Utapata shida sana:

  • Mwanamke atazaa kwa uchungu.
  • Mwanaume atakula kwa jasho.

Ingawa mke wako kazidi, lakini nataka ujue hakuna mwanamke atakaye mvumilia mwanaume anayeshinda home na kufanya kazi za House girl.
 
Kila siku tunasema humu, ajira haimfanyi mwanamke kua mke bora. Hapo nae tayar keshajiona ni mwanaume kisa analeta hela ya kula ndani.

Hapo anaitafuta 50/50 kwamba wee nae zamu yako unapaswa umpokee majukumu yake ya ndani.

Aisee hii ndo wanasema kua uyaone.
 
Ktk maisha hamna kipind kigumu mwanamue anapitia Kama kukosa Ela ya kulisha familia.

Na kibaya zaidi MKE ulienae ndani nae akubadilikie,

Aisee Utahs Moyo wako unapitishwa ktk tanuri kali la Moto[emoji26]
 
Kuna vitabia vya kivivu kaviona kwako vinamboa.hata kama huna kazi hamka saa 12 kapambane sio unalala mpaka saa tano ukiamka unashindia kwenye TV.All in all wanawake wengi wanadharau sana unapokosa kipato.
Hata Kama ni uvivu,
Sio mom kufikia kumnyima tendo na kumfulisha nguo. Hiyo Ni tabia ya kifeminism[emoji2955]
 
Back
Top Bottom