Kizazi Cha ovyo sana hiki, kunyimwa utelezi, kuambiwa ujifunze kupika na uanze kufua unapatwa na makasiriko hivyo ? Take easy bro maisha ni mapambano .
Fuata ushauri huu.
Kwanza kubali kuwa uko kwenye kipindi Cha mpito kinachobadiri mtazamo wako juu ya maisha na ndoa. This season utajua nini maana ya kuomba kuwa na make supportive in this life na umhimu wa kuwa na uchumi imara.
Dharau zote unazohisi unafanyiwa ni mtazamo tu , potezea , kuwa positive, msaidie mkeo , Huku daily ukijipanga.
Utaona na kusikia mengi ila jipe moyo kipindi hiki kitapita. Omba Mungu tu wife akianza kukazwa nje asikuonyeshe waziwazi coz kwa hasira zako hizo unaweza kujitia kitanzi.
Mwisho , usiache kumpa Yesu maisha yako , atakuwa Mungu wako msaada utakaokusaidia upitapo kwenye bonde la uvuli wa mauti