Tz the Next Congo
Senior Member
- Feb 27, 2017
- 172
- 121
Nina doubt na uwezo wako wa kuchambua soka so kwa hyo clip ndio uwezo pekee w a messi huo...?
Ni kweli messi ni mjukuu wake kwa umri lakin kisoka siwezi judge uwezo wake tokana na kwamba sijamuona
Usimshambulie shaffy dauda et anampamba Messi...yye anasema kinachosemwa na pundits,proffessionals wa soka kuhusu messi.
Unaendeshwa na hisia mbaya kuhusu Messi(y Messi always)
Relax watch the game then utaelewa wanachokisema Wengi wao(i mean proffessionals) na sio shaffy kama unavofikir.
Thanks