Tz the Next Congo
Senior Member
- Feb 27, 2017
- 172
- 121
Nina doubt na uwezo wako wa kuchambua soka so kwa hyo clip ndio uwezo pekee w a messi huo...?
Mi nisha sema we endelea na document zako hivyo hivyo....Hivi we unamjua Pele au unaongea Tu?? Amekuwa overated na Nani?? Nani amechagua kuwa mwanasoka Bora wa muda wote??
Nitajie mwanasoka mwenye mafanikio ya kisoka na mataji kama Pele Kwa mchango wa moja Kwa moja pia pitia hii
Kwa documentary ya Pele hii ilo toka ntakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi
Mi nisha sema we endelea na document zako hivyo hivyo....
wakweli wote peponiHakuna kama gaucho
We jamaa bhana....messi huyu alokuwa na ballon d or 5 ronaldo ana 3 afu akamfikia? messi alokuwa na goli 9 uefa ronaldo ana 2 then ronaldo akampita kwa goli 11 kwa 9?, messi huyu ambaye pamoja na kuwa na kikosi booora kabisa cha argentina kakosa copa america mara mbili mbele ya chile? messi huyu ambaye pamoja na kuwa na kikosi boooora kabisa cha argentina alikosa kombe la dunia?,messi huyu ambaye tangu kaanza mpira kakomaa na barcelona tu na hatujawahi ona uwezo wake katika mazingira mengine tofauti?...acha upuuzi wewe zungumzia maradona,pele na wengineo siyo huyo mbilikimo mbovu klab inambeba
We jamaa bhana....
Sasa Argentina ile ilikua timu au mkusanyiko wa mastaa?!?!
Unataka umwone kwenye mazingira gani tofauti wakati champions league yupo na kazinyanyasa timu za ligi kubwa mbali mbali.
Kua mtu wa mpira bhana.
HakikaWazungu wengi wanakubali Pele na Eusebio ndo best ever..
ila ubaguzi tu ndo utasikia mara huyu mara yule
Hakika
Wewe ni ushabiki au nini? Ronaldo Ana skills gani za kumzidi Messi?Kwa kuucheza mpira na jukwaa la mashabiki hakuna kama Ronaldinho,
Pia sina unasaba wowote katika hili kwamba C.Ronaldo ni zaidi ya messi katika ulimwengu wa soka kwani binafsi sifurahishwi sana na skills za messi ktk ku-score ukilinganisha na C.Ronaldo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hvyo angebeba ballondor miaka yote mbona kafikiwa na RonaldoHuyu ndo mchezaji ambae anawasumbua vichwa watu duniani....kila mchezaji anaekuja anawika miaka miwili au mitatu anapotea lakini Messi yupo pale pale. Best player in all generation.
kajifunze mpira njoo boss...messi kawahi kucheza timu tofauti na barca?...kwangu kwa kigezo hiko hata suarez n bora kwangu kuliko yeye..mchezaji wa ligi moja,timu moja miaka yote anaogopa changamoto mpya atoke barca imetosha sasa..tukaone huko kwingine makali ni hayohayo? au ndo akina shevchenko?We jamaa bhana....
Sasa Argentina ile ilikua timu au mkusanyiko wa mastaa?!?!
Unataka umwone kwenye mazingira gani tofauti wakati champions league yupo na kazinyanyasa timu za ligi kubwa mbali mbali.
Kua mtu wa mpira bhana.
Hoja ya kitoto hii.kajifunze mpira njoo boss...messi kawahi kucheza timu tofauti na barca?...kwangu kwa kigezo hiko hata suarez n bora kwangu kuliko yeye..mchezaji wa ligi moja,timu moja miaka yote anaogopa changamoto mpya atoke barca imetosha sasa..tukaone huko kwingine makali ni hayohayo? au ndo akina shevchenko?
jibu hoja kuonesha utoto wa hoja hii...kwangu mchezaji wa ligi moja na timu moja anakosa sifa za kuwa namna unavyotaka tuamini MESSI anazo..usipanik toa hoja na MCHEZAJI WAKO MBOVU ANAYEBEBWA NA TIMU.Hoja ya kitoto hii.
Siwezi kupaniki kisa unatoa hoja mfu...jibu hoja kuonesha utoto wa hoja hii...kwangu mchezaji wa ligi moja na timu moja anakosa sifa za kuwa namna unavyotaka tuamini MESSI anazo..usipanik toa hoja na MCHEZAJI WAKO MBOVU ANAYEBEBWA NA TIMU.
Poa Messi hajui mpira...eti argentina siyo timu ni kikundi cha mastaa mastaa hao wa nini wa FILAMU au?, yote unataka kumtetea mbilikimo?.. argentina bonge la timu ila messi na huo ubora unaotaka kutuaminisha anao kakosa copa america mara mbili na kombe la dunia juu pumbav...tunajua na tunafatilia mpira messi anan'gaa na BARCELONA tu na si kwingine.