Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

Mshabiki wa man u
 
Watu wa staili hii tushawazoea Mkuu. Alafu eti anamuita mbilikimo.binadamu wengine bwana hata Mungu atumuogopi...Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe...
Ukweli mchunguuuu....mbilikimo hawezi mpira kwa kias mnachotaka kutuaminisha kwenye huu uzi.
 
Ukweli mchunguuuu....mbilikimo hawezi mpira kwa kias mnachotaka kutuaminisha kwenye huu uzi.

Kila mmoja na mtazamo wake kiongozi..so bakia na kile unachoamini wewe.

Kuhusu mbilikimo naona limekukaa mno kichwani. So haipendezi kumuita ivyo hali yakuwa yeye sio mbilikimo, kama wewe ni mrefu bas ndivyo Mungu amekuumba.
 
Reactions: PNC
Mkuu hakika hakuna kama hao wawili katika kura za mchezaji bora wa karne Maradona alimgalagaza Pele mbali Havalange rais wa fifa enzi hizo raia wa Brazil alipata moto sana akaamua kuwa dual yaani wote kura sawa shame very shame
 
Kuchukua world cup mwaka huu hadi Germany wajiondoe kushiriki kombe la dunia
 
Mkuu hakika hakuna kama hao wawili katika kura za mchezaji bora wa karne Maradona alimgalagaza Pele mbali Havalange rais wa fifa enzi hizo raia wa Brazil alipata moto sana akaamua kuwa dual yaani wote kura sawa shame very shame

Kabisa Mkuu.
 
Kila mmoja na mtazamo wake kiongozi..so bakia na kile unachoamini wewe.

Kuhusu mbilikimo naona limekukaa mno kichwani. So haipendezi kumuita ivyo hali yakuwa yeye sio mbilikimo, kama wewe ni mrefu bas ndivyo Mungu amekuumba.
sasa uzi wako unataka utuaminishe hivyo bt kwa vigezo na rekodi Messi kapotezwa mbali sana alichomzidi RONALDO NI UFUPI TU na KUKAA KWENYE CLUB MOJA KWA MUDA MREFU BAAAAAS...MBILIKIMO YULE.
 
sasa uzi wako unataka utuaminishe hivyo bt kwa vigezo na rekodi Messi kapotezwa mbali sana alichomzidi RONALDO NI UFUPI TU na KUKAA KWENYE CLUB MOJA KWA MUDA MREFU BAAAAAS...MBILIKIMO YULE.

Ndio maana nikakuambia kila mmoja na mtazamo wake, so baki na kile unachokiamini wewe,hakuna mtu aliyekulazimisha kuamini. Sawa mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…