TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,030
Umesifia weeeee umesahau ka Messi hakana hata World Cup mojani vema umeomba radhi apology accepted,maisha yaendelee
bado unapaswa kujifunza kujibu hoja iliyopo mezani,wewe unatoa irrelevant facts,ndio ni facts lakini hazihusiani na ulichoulizwa,nimekuambia hako ka Maradona kako kanakumbukwa kwa mechi ngapi au matukio mangapi??chukua mtu yoyote muulize unamkumbuka Maradona kwa lipi sana sana atakuambia goli la mkono na kupiga chenga defence ya kiingereza!at Barcelona Maradona hakumbukwi kwa lolote,Hugo sanchez is a greater player by far compared to Maradona in Barca jerseys!!huko sehemu nyingine kacheza kwa viwango vya kawaida tu,ni kama greateness ya Gaucho inakumbukwa akiwa barcelona tu japo kacheza na sehemu nyngine!!
Twende kwa Messi sasa kaka,Messi has been tearing apart defences for years and years,almost every weekend,Messi hakumbukwi kuwa ktk kiwango cha chini may be for some few games...five times Ballon d'or Winner!!Messi amefanya hivyo katika wakati ambao kiwango kikubwa zaidi ktk soka kinachezwa ktk level ya club tofauti na zamani soka bora ilikuwa ktk kombe la dunia!Amefanya hivyo soka bora zaidi ikichezwa ulaya aliko yeye na kachukua uefa champions league mara 4!!amefanya hivyo soka bora zaidi likichezwa hispania alipo yeye na anatesa huko vilivyo,amefanya hivyo soka bora zaidi duniani likichezwa na Barcelona ambapo yeye ni mfalme!!ka maradona kako kangefanya hata nusu ya haya sijui ungempa sifa gani.
Twende kwa Pele,sitaki kupoteza muda kuelezea sifa zake,nakuambia tu kwa ufupi,wakati ka maradona kako kaliotea kombe la dunia kwa kufunga goli kwa mkono,Pele the greatest alichukua mara 3 kombe la dunia!!hakuna binadamu aliyewahi kufanya hivyo na dalili zinaonyesha hatawahi kutokea tena binadamu wa kuchukua kombe la dunia mara 3.
haya sasa kaelezee hako ka maradona kako kanakumbukwa kwa lipi halafu ufananishe na hao hapo juu!!
Sent using Jamii Forums mobile app