Tangu tumepata uhuru ni hayati Julius Nyerere na hayati John P. Magufuli waliujua kwa undani na umaskini wa watanzania wengi na kuwaonea huruma

Tangu tumepata uhuru ni hayati Julius Nyerere na hayati John P. Magufuli waliujua kwa undani na umaskini wa watanzania wengi na kuwaonea huruma

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Julius alikuwa na huruma juu ya raia wa chini. Hakutaka wateseke na tozo, kodi, ada za shule na hata kuhangaika kupata chakula.

Julius alipambana kila Mtanzania angalau asipate tabu sana ila mabeberu na vibaraka wa mabeberu walimkwamisha.

Hayati John Pombe alipambana masikini wasihangaike. Ndio maana alipambana mapato ya Serikali yatumike vyema ili masikini na wanyonge wasiteseke na tozo na manyanyaso.

Leo hii matajiri wanapeta.

Tozo, ada na manyanyaso yanawatesa raia wanyonge wa chini.
image_search_1667493691380.jpg
 
Mkapa Alianzisha TASSAF, MKUKUTA NA MKURABITA isome vizuri mipango hii kama utaweza na kuelewa ndiyo uje ubwabwaje hapa
Mkapa alianzisha na kuimarisha mifuko ya kijamii NSSF, LAPF nk linganisha paformance yake na kipindi cha chizi mwnzio wa chato uje unengue tena hapa
MKAPA alianzisha sTUDENTS loan board mwingine kwa ujuha wake akaja kuongeza makato ndiyo anajali wanyonge huyo
MKAPA alianzisha NHIF na kuruhusu watumishi wa umma wakopeshwe kwenye mabenk na sasa wanakopeshwa vizuri tu.
MKAPA alianzisha MMEM na MMES kwa ajili ya kujenga shule secondary na zahanati kila kijiji
MKAPA alianzisha TACAID na BMAF huyo chizi wako alianzisha nini?
Kikwete alikuwa anaongeza nyongeza ya mishahara kwa watumishi Magufuli akaja kukaa miaka 6 bila kuongeza chochote akiishia kuwaita wezi
Kikwete aliacha zao la KOROSHO likiwa juu na mikoa ya kusini wananchi kuanza kujenga hadi nyumba za bati Magufuli akaja kuwapora korosho zao akitumia JWTZ
Kikwete alianzisha secondary za kata kila akta na kupeleka walimu kufundisha huko tena moja kwa moja wakitokea chuoni Magufuli alikataa kuajiri watu tena wahitimu wa vyuo vikuu akisingizia uhakiki hewa
Kikwete aliacha bunge la kidemokrasia la vyama vingi ili liweze kuhoji matumizi ya serikali. tena live Magufuli akalivunja na kujaza wabunge wa chama kimoja ili lisiweze kumhoji anavyofanya upumbavu wake (rejea vikao vya bunge vinavyo endelea)
MKAPA alianzisha PCCB, KIKWETE AKAIPA MENO SHERIA YA 2007 magufuli aliishia kuikalia makalioni huku akishindwa kuitekeleza (rejea manunuzi ya ndege na ujenzi wa chatto airport}
Najua utatukana ila kama una akili timamu huwezi linganisha takataka inayoita JPM na marais smart kama MKAPA
Utakuwa uantokea kile kikundi cha VIJANA WAZALENDO WA TZ mliokuwa mnaongozwa na MSIGWA kutesa watu pale KIJITONYAMA
Kamfufue uzikwe wewe bai
 
Mkapa Alianzisha TASSAF, MKUKUTA NA MKURABITA isome vizuri mipango hii kama utaweza na kuelewa ndiyo uje ubwabwaje hapa
Mkapa alianzisha na kuimarisha mifuko ya kijamii NSSF, LAPF nk linganisha paformance yake na kipindi cha chizi mwnzio wa chato uje unengue tena hapa
MKAPA alianzisha sTUDENTS loan board mwingine kwa ujuha wake akaja kuongeza makato ndiyo anajali wanyonge huyo
MKAPA alianzisha NHIF na kuruhusu watumishi wa umma wakopeshwe kwenye mabenk na sasa wanakopeshwa vizuri tu.
MKAPA alianzisha MMEM na MMES kwa ajili ya kujenga shule secondary na zahanati kila kijiji
MKAPA alianzisha TACAID na BMAF huyo chizi wako alianzisha nini?
Kikwete alikuwa anaongeza nyongeza ya mishahara kwa watumishi Magufuli akaja kukaa miaka 6 bila kuongeza chochote akiishia kuwaita wezi
Kikwete aliacha zao la KOROSHO likiwa juu na mikoa ya kusini wananchi kuanza kujenga hadi nyumba za bati Magufuli akaja kuwapora korosho zao akitumia JWTZ
Kikwete alianzisha secondary za kata kila akta na kupeleka walimu kufundisha huko tena moja kwa moja wakitokea chuoni Magufuli alikataa kuajiri watu tena wahitimu wa vyuo vikuu akisingizia uhakiki hewa
Kikwete aliacha bunge la kidemokrasia la vyama vingi ili liweze kuhoji matumizi ya serikali. tena live Magufuli akalivunja na kujaza wabunge wa chama kimoja ili lisiweze kumhoji anavyofanya upumbavu wake (rejea vikao vya bunge vinavyo endelea)
MKAPA alianzisha PCCB, KIKWETE AKAIPA MENO SHERIA YA 2007 magufuli aliishia kuikalia makalioni huku akishindwa kuitekeleza (rejea manunuzi ya ndege na ujenzi wa chatto airport}
Najua utatukana ila kama una akili timamu huwezi linganisha takataka inayoita JPM na marais smart kama MKAPA
Utakuwa uantokea kile kikundi cha VIJANA WAZALENDO WA TZ mliokuwa mnaongozwa na MSIGWA kutesa watu pale KIJITONYAMA
Kamfufue uzikwe wewe bai
Umepost nini? Stupidity
 
Julius alikuwa na huruma juu ya raia wa chini. Hakutaka wateseke na tozo, kodi, ada za shule na hata kuhangaika kupata chakula.

Julius alipambana kila Mtanzania angalau asipate tabu sana ila mabeberu na vibaraka wa mabeberu walimkwamisha.

Hayati John Pombe alipambana masikini wasihangaike. Ndio maana alipambana mapato ya serikali yatumike vyema ili masikini na wanyonge wasiteseke na tozo na manyanyaso.

Leo hii matajiri wanapeta.

Tozo, ada na manyanyaso yanawatesa raia wanyonge wa chini.
View attachment 2406024
Aliwathamini sana machawa kama nyie kuliko watanzania
 
Hao walijua ujinga wa watanzania na wakautumia , J.K Nyerere hawezi kujitoa kwenye hili hii katiba mbovu aliyotuachia inaigharimu nchi hadi leo pia sera ya ujamaa iliyofeli.

Huyo JPM alitumia uoga na ujinga wa watanzania kueneza propaganda imagine utasemaje nchi haina wajinga kama watu wameambiwa wakaombe mkopo kitambulisho cha umachinga kisichokua na picha, jina wala anwani ya mtu na watu wakamshangilia mtu aliyesema hivyo.

Hawa walitumia ujinga na uoga wa watanzania kama mtaji japo mmoja ana afadhali kuliko mwingine.
 
Mkapa Alianzisha TASSAF, MKUKUTA NA MKURABITA isome vizuri mipango hii kama utaweza na kuelewa ndiyo uje ubwabwaje hapa
Mkapa alianzisha na kuimarisha mifuko ya kijamii NSSF, LAPF nk linganisha paformance yake na kipindi cha chizi mwnzio wa chato uje unengue tena hapa
MKAPA alianzisha sTUDENTS loan board mwingine kwa ujuha wake akaja kuongeza makato ndiyo anajali wanyonge huyo
MKAPA alianzisha NHIF na kuruhusu watumishi wa umma wakopeshwe kwenye mabenk na sasa wanakopeshwa vizuri tu.
MKAPA alianzisha MMEM na MMES kwa ajili ya kujenga shule secondary na zahanati kila kijiji
MKAPA alianzisha TACAID na BMAF huyo chizi wako alianzisha nini?
Kikwete alikuwa anaongeza nyongeza ya mishahara kwa watumishi Magufuli akaja kukaa miaka 6 bila kuongeza chochote akiishia kuwaita wezi
Kikwete aliacha zao la KOROSHO likiwa juu na mikoa ya kusini wananchi kuanza kujenga hadi nyumba za bati Magufuli akaja kuwapora korosho zao akitumia JWTZ
Kikwete alianzisha secondary za kata kila akta na kupeleka walimu kufundisha huko tena moja kwa moja wakitokea chuoni Magufuli alikataa kuajiri watu tena wahitimu wa vyuo vikuu akisingizia uhakiki hewa
Kikwete aliacha bunge la kidemokrasia la vyama vingi ili liweze kuhoji matumizi ya serikali. tena live Magufuli akalivunja na kujaza wabunge wa chama kimoja ili lisiweze kumhoji anavyofanya upumbavu wake (rejea vikao vya bunge vinavyo endelea)
MKAPA alianzisha PCCB, KIKWETE AKAIPA MENO SHERIA YA 2007 magufuli aliishia kuikalia makalioni huku akishindwa kuitekeleza (rejea manunuzi ya ndege na ujenzi wa chatto airport}
Najua utatukana ila kama una akili timamu huwezi linganisha takataka inayoita JPM na marais smart kama MKAPA
Utakuwa uantokea kile kikundi cha VIJANA WAZALENDO WA TZ mliokuwa mnaongozwa na MSIGWA kutesa watu pale KIJITONYAMA
Kamfufue uzikwe wewe bai
Umeandika nini sasa hii?
Jinga
 
Hao walijua ujinga wa watanzania na wakautumia , J.K Nyerere hawezi kujitoa kwenye hili hii katiba mbovu aliyotuachia inaigharimu nchi hadi leo pia sera ya ujamaa iliyofeli.

Huyo JPM alitumia uoga na ujinga wa watanzania kueneza propaganda imagine utasemaje nchi haina wajinga kama watu wameambiwa wakaombe mkopo kitambulisho cha umachinga kisichokua na picha, jina wala anwani ya mtu na watu wakamshangilia mtu aliyesema hivyo.

Hawa walitumia ujinga na uoga wa watanzania kama mtaji japo mmoja ana afadhali kuliko mwingine.
Hapa ndio naona hasara ya vyeti feki.
Ndio mana JPM aliwatumbua.
 
Julius alikuwa na huruma juu ya raia wa chini. Hakutaka wateseke na tozo, kodi, ada za shule na hata kuhangaika kupata chakula.

Julius alipambana kila Mtanzania angalau asipate tabu sana ila mabeberu na vibaraka wa mabeberu walimkwamisha.

Hayati John Pombe alipambana masikini wasihangaike. Ndio maana alipambana mapato ya serikali yatumike vyema ili masikini na wanyonge wasiteseke na tozo na manyanyaso.

Leo hii matajiri wanapeta.

Tozo, ada na manyanyaso yanawatesa raia wanyonge wa chini.
View attachment 2406024
Tunataka utatuzi au tunataka kuonewa huruma?

Hao jamaa wawili waliingiza watu kwenye umaskini uliotopea huku hasara Zikiwa lukuki..

Nadhani na leo umesikia hasara alizosababisha Mwendazake huko Bodi ya Mikopo..

Hao uliowataja walijua kupiga propaganda kwa watu maskini wasiojielewa ila ni failures wakubwa Sana kwenye mambo ya uchumi na ustawi.
 
Back
Top Bottom