Tangu tupate Uhuru ni mara ya kwanza sherehe za Muungano kuhudhuriwa na Marais wote kutoka upande wa Zanzibar

Hamfanyikazi siku za sikukuu ila perdiem mnaandikia.
 

Kaka na dada! πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Na pia ni mtu na dada/kaka yake wakishea baba mmoja ambaye naye aliwahi kuwa rais wa Zanzibar na Tanzania. Kweli tunatawaliwa kisawasawa.
 
Na pia ni mtu na dada/kaka yake wakishea baba mmoja ambaye naye aliwahi kuwa rais wa Zanzibar na Tanzania. Kweli tunatawaliwa kisawasawa.
Ni utani kama ukweli au ukweli kama utani?
 
Siyo hilo tu bali pia wote ni wa baba mmoja
 
Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Mkuranga Kivure Mkoa wa Pwani wazazi wake walihamia Unguja alipokuwa mdogo. Hussein ni mzanzibari alizaliwa Zanzibar Unguja trh 23/12/1966.
Akaja kuwa mbunge wa Mkuranga 2005-2010.
 
Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Mkuranga Kivure Mkoa wa Pwani wazazi wake walihamia Unguja alipokuwa mdogo. Hussein ni mzanzibari alizaliwa Zanzibar Unguja trh 23/12/1966.
Kwani kuzaliwa Mkuranga kunamfanya asiwe raia wa Zanzibar .....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…