The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Umepuliza bangi la wapi leoMiaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Soma maandiko kitabu cha ufunuo ipo waziUmetumia vigezo gani Ndugu mwandishi hadi kuja na mahesabu hayo?
Ni kama Miaka elfu si ndio🤔Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Time dilation kutoka kwenye theory ya general relativity "the greater the mass of an object, the more it curves spacetime, leading to a stronger gravitational effect;" hivyo dunia na ulimwengu wetu kwa ujumla una mass ndogo kufanya time kwenda haraka kuliko ulimwengu alipo yesu ambapo kuna mass kubwa hivyo muda unaenda taratibuUmetumia vigezo gani Ndugu mwandishi hadi kuja na mahesabu hayo?
Thibitisha huyo Mungu yupo kwanza.Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Uko sahihi kabisaMiaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
2 Petro 3:8 NENUmetumia vigezo gani Ndugu mwandishi hadi kuja na mahesabu hayo?
Na hizo dakika 25 ziko sahihi auMiaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Mkuu potezea tuThibitisha huyo Mungu yupo kwanza.
Yesi ni miaka 25 yaani 2025Na hizo dakika 25 ziko sahihi au
Dakika moja ni sawa na mwaka mmoja?Yesi ni miaka 25 yaani 2025
Mimi nimepotezea lakini watu wanaanzisha thread.Mkuu potezea tu
Piga calculation kwa base ya siku moja ni sawa na miaka elf mojaDakika moja ni sawa na mwaka mmoja?
Mbona naona siku 2 na dakika 25 ni sawa na miaka 2905Piga calculation kwa base ya siku moja ni sawa na miaka elf moja
Subiri kwanza ukishafuturu ndo uanzishe uzi. Mawenge ya Ramadan na Quaresma ni hatari.Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.