The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.