Tani Elfu 50 za sukari kuingizwa nchini kukabiliana na upungufu uliopo

Inabidi wajifunze kuwa proactive badala ya reactive. Wasiwe wanasubiri tatizo ndipo watafute suluhu wakati ni matatizo yanayojirudia kila mara.
 
Mdogo wangu umeelewa lakini sababu zilizotolewa za kupungua kwa uzalishaji wa sukari kwa kipindi hiki? Au wewe umekimbilia kutoa maoni yako tu yanayokujia kichwani mwako humo😀😀😀
Hizi sababu zipo kila mwaka yani sijui kwanini huwa wanaosimamia mambo hawajifunzi. Sio mara ya kwanza kutokea. Jambo likitokea mara kwa mara tunategemea watu wawe wamejifunza so siku nyingine wanaliwahi kabla ya kutokea. Lakini hapa kwetu kila siku mambo yanajirudia iwe mafuriko jangwani, sukari kuadimika, umeme kupungua. Inabidi tuwe proactive na sio reactive kwa amsuala yanayojirudia kila mara.
 
Kwamba kuagiza ndiyo tumeanza mwaka huu? uoni hata aibu kuandika hiyo taarifa yako?
Ni jambo la kawaida katika masuala ya kibiashara wakati ukiendelea kujiimarisha na kuongeza kiwango cha uzalishaji wako katika kukidhi mahitaji ya soko. Kumbuka ya kuwa matumizi ya sukari nchini yanaongezeka sana hapa nchini kutokana na mambo mengi yanayotumia na kuhitaji sukari yakiongezeka hapa nchini.angalia watu wanaooka maandazi na mikate,l mitaani waliofungua tuviwanda tudogo tudogo jinsi walivyowengi na kutapakaa kila sehemu ,ambapo kwao sukari ni lazima katika utengenezaji.bado viwandani ambapo viwanda vinaongezeka kila siku kutokana na sera nzuri za uwekezaji zilizopo hapa nchini zinazochochea na kuvutia wawekezaji
 
Hivi Azam si alipewa Mashamba alime Miwa na Magu Kule Bagamoyo?Hajafanikiwa kutatua changamoto ya sukari?

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Anaweza akalima na asikidhi mahitaji ya soko hapa nchini ,maana mahitaji ya sukari yanaongezeka sana hapa nchini.lakini pia hata kama naye angekuwa amelima bado asingeweza kuzalisha sukari ya kutosha wakati huu kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na hivyo kukwamisha uvunaji wa miwa kwa ajili ya kuzalisha sukari.
 
we bwana umelogwa au ndio mama sami mwenyewe ukiwa gheto na mumeo unaingia jf kujisifu upuuz we sami hata nikisema nikupambanishe kwa uelewa na mtoto wangu wa miaka 8 anakuzidi mara 8 kiufup kakatikie
 
Asante kwa ushauri wako mzuri na wenye dhamira njema kwa serikali yetu kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
 
we bwana umelogwa au ndio mama sami mwenyewe ukiwa gheto na mumeo unaingia jf kujisifu upuuz we sami hata nikisema nikupambanishe kwa uelewa na mtoto wangu wa miaka 8 anakuzidi mara 8 kiufup kakatikie
Asante kwa mawazo yako. Mungu akubariki sana na kukujalia maisha marefu yenye heri na amani.
 
Nonsense, kwamba matumizi ya sukari Tz yapo juu kuliko Marekani au Brazil? tuwe wa kweli hatupo serious na kilimo kwenye kuagiza sukari nje watu wanapiga dili zao, kwani tungeamua magereza pekee wazalishe sukari badala ya kuwakalisha ndani nini kingeshindikana? JKT wakazalisha pale Singida alzeti pekee? ni utawala mbovu, kwamba Brazil, Ukraine wao hawana changamoto ndiyo maana hawaagizi kutoka kwetu? sisi ni jambo gani ambalo limefanikiwa kwa hii miaka 63 ya uhuru zaidi ya uchawa? Lini umeona hata DC/RC/Waziri anafanya mdahalo wa kilimo? yamejazwa makada tupu kazi kusifia pekee badala ya kuwa wabunifu. Shame on you
 
Kwanza ni sababu za kipumbavu na aibu kwa taifa lenye ardhi nzuri kama hili, shinda ni uongozi mbovu wa kujaza machawa kwenye nafasi nyeti kama hizi badala ya nafasi zitangazwe waombe watu wenye uwezo wamejaa makada na chawa.
 
Mnatarajia mhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…