EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Mara ya mwisho umenunua lin?Kwani sukari imeadimika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho umenunua lin?Kwani sukari imeadimika?
Mzee Mgaya kunywa ulansiKwani sukari imeadimika?
Umeifungia wapi hiyo sukari? Kwanini usiitoe kama umeifungia wewe.
Hii nchi ina matatizo makubwa sana.Wakati sukari ipo tumefungia.
Hata ikiletwa nyingine tutanunua yote na kufungia.
Kwani wewe umewahi kuomba kibali cha kuagiza sukari ukanyimwa...genge la vigogo wa Ccm ndio waagizaji wa sukari nchini. Kuna michezo michafu dhidi ya wananchi unaendelea huko.
Kwani wewe umewahi kuomba kibali cha kuagiza sukari ukanyimwa.
Nchi iko salama mikononi mwa Rais Samia..wewe ni chawa tu. Huwezi kujua wakubwa zako wanavyoitafuna nchi.
Ule mpango was JPM na azam kupewa eneo alime miwa ya sukari imeishia wapi¡?Ndugu zangu Watanzania,
Mkurugenzi mkuu wa bodi ya Sukari nchini Tanzania Ndugu Kenneth Bengesi amesema kuwa katika kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini, inatarajiwa kuanzia mwezi huu wa januari kuingizwa kwa Tani Elfu Hamsini za Sukari kutoka nje ya Nchi.
Mkurugenzi huyo ameelezea pia sababu ya upungufu wa sukari uliopo hapa nchini na njia au mikakati ambayo inaendelea kufanyika ili kumaliza tatizo hilo.ambapo amesema ya kuwa upungufu huo unatokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini ambapo zinakwamisha shughuli za uvunaji wa miwa kwa ajili ya uzalishaji wa sukari.
Kwa hiyo uagizwaji na uingizwaji wa Tani hizi za sukari kutoka nje ya nchini kuja hapa Nchini ni katika juhudi za kuongeza kiasi cha upatikanaji wa sukari hapa nchini na kuweza kuendana na mahitaji ya Sukari yanayohitajika.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
[emoji23][emoji23][emoji23]Usinifananishe mimi na Mheshimiwa Mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nuru ya wanyonge ,nyota ya matumaini anayefanya kazi na kuchapa kazi mpaka kazi zenyewe zinapiga salute kwake. Mama Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe
We akili zako butu sjui unatakiwa u boost na bangi au sembe.Umeifungia wapi hiyo sukari? Kwanini usiitoe kama umeifungia wewe.
Hata uenyekiti wa nyumba kumi hupewi.Usinifananishe mimi na Mheshimiwa Mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nuru ya wanyonge ,nyota ya matumaini anayefanya kazi na kuchapa kazi mpaka kazi zenyewe zinapiga salute kwake. Mama Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe
Tstizo nyie hamuoni mbele hamjui kutathmini uzalishaji na ujazo wa sukari.Ndugu zangu Watanzania,
Mkurugenzi mkuu wa bodi ya Sukari nchini Tanzania Ndugu Kenneth Bengesi amesema kuwa katika kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini, inatarajiwa kuanzia mwezi huu wa januari kuingizwa kwa Tani Elfu Hamsini za Sukari kutoka nje ya Nchi.
Mkurugenzi huyo ameelezea pia sababu ya upungufu wa sukari uliopo hapa nchini na njia au mikakati ambayo inaendelea kufanyika ili kumaliza tatizo hilo.ambapo amesema ya kuwa upungufu huo unatokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini ambapo zinakwamisha shughuli za uvunaji wa miwa kwa ajili ya uzalishaji wa sukari.
Kwa hiyo uagizwaji na uingizwaji wa Tani hizi za sukari kutoka nje ya nchini kuja hapa Nchini ni katika juhudi za kuongeza kiasi cha upatikanaji wa sukari hapa nchini na kuweza kuendana na mahitaji ya Sukari yanayohitajika.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Huna akili.Mdogo wangu umeelewa lakini sababu zilizotolewa za kupungua kwa uzalishaji wa sukari kwa kipindi hiki? Au wewe umekimbilia kutoa maoni yako tu yanayokujia kichwani mwako humo[emoji3][emoji3][emoji3]
Nchi ya MAPWAGU NA MAPWAGUZIHizi sababu zipo kila mwaka yani sijui kwanini huwa wanaosimamia mambo hawajifunzi. Sio mara ya kwanza kutokea. Jambo likitokea mara kwa mara tunategemea watu wawe wamejifunza so siku nyingine wanaliwahi kabla ya kutokea. Lakini hapa kwetu kila siku mambo yanajirudia iwe mafuriko jangwani, sukari kuadimika, umeme kupungua. Inabidi tuwe proactive na sio reactive kwa amsuala yanayojirudia kila mara.
Nchi ya MAPWAGU NA MAPAGUZI[(CCM&SERIKALI YA CCM)[Tstizo nyie hamuoni mbele hamjui kutathmini uzalishaji na ujazo wa sukari.
Habari ya mvua tuliambiwa miezi kadhaa na kama mnajua athari zake mlichukua hatua gani kuepusha kadhia hii?
Nyie mpo mpo tuu, bodi na wizara watendaji wanasubiri mishahara posho marupurupu na makandokando mengine na kuachia mambo yajiendee yenyewe
Halafu iweje tatizo hili hujorudia kila ikikaribia mfungo wa Ramadan no matter ukiwa December,June au hata January?[emoji35]
Hiyo sukari kwani itagawa bure! Au ndio yake yale ya kuchanganywa na makapi pumba tukauziwa!.Ndugu zangu Watanzania,
Mkurugenzi mkuu wa bodi ya Sukari nchini Tanzania Ndugu Kenneth Bengesi amesema kuwa katika kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini, inatarajiwa kuanzia mwezi huu wa januari kuingizwa kwa Tani Elfu Hamsini za Sukari kutoka nje ya Nchi.
Mkurugenzi huyo ameelezea pia sababu ya upungufu wa sukari uliopo hapa nchini na njia au mikakati ambayo inaendelea kufanyika ili kumaliza tatizo hilo.ambapo amesema ya kuwa upungufu huo unatokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini ambapo zinakwamisha shughuli za uvunaji wa miwa kwa ajili ya uzalishaji wa sukari.
Kwa hiyo uagizwaji na uingizwaji wa Tani hizi za sukari kutoka nje ya nchini kuja hapa Nchini ni katika juhudi za kuongeza kiasi cha upatikanaji wa sukari hapa nchini na kuweza kuendana na mahitaji ya Sukari yanayohitajika.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Leo, Kilombero Brown Sugar 1 kg tsh 3500Mara ya mwisho umenunua lin?
Mbona hupatikani?0742-676627.
Mdogo mdogo broo; mwisho wa siku na nyie mtafungiwa humohumo.😀😀😀Wakati sukari ipo tumefungia.
Hata ikiletwa nyingine tutanunua yote na kufungia.
Nchi gani wanakogawa sukari bure.Hiyo sukari kwani itagawa bure! Au ndio yake yale ya kuchanganywa na makapi pumba tukauziwa!.
Je viwanda vyetu tukuka vinazalisha sukari GURU!!