Tani Elfu 50 za sukari kuingizwa nchini kukabiliana na upungufu uliopo

Ule mpango was JPM na azam kupewa eneo alime miwa ya sukari imeishia wapiΒ‘?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeifungia wapi hiyo sukari? Kwanini usiitoe kama umeifungia wewe.
We akili zako butu sjui unatakiwa u boost na bangi au sembe.
Yaani unajifanya hujui kua kiuchumi ukitaka kupaisha bei ya bidhaa unasababisha scarcity ili bei ipae.
Hujui hapa kwetu maccm ndo sole owners wa bei ya bidhaa hasa mafuta,petrol sukari mchele na sembe
 
Hata uenyekiti wa nyumba kumi hupewi.
Wamegundua wewe ni opportunist hufai
 
Tstizo nyie hamuoni mbele hamjui kutathmini uzalishaji na ujazo wa sukari.
Habari ya mvua tuliambiwa miezi kadhaa na kama mnajua athari zake mlichukua hatua gani kuepusha kadhia hii?
Nyie mpo mpo tuu, bodi na wizara watendaji wanasubiri mishahara posho marupurupu na makandokando mengine na kuachia mambo yajiendee yenyewe
Halafu iweje tatizo hili hujorudia kila ikikaribia mfungo wa Ramadan no matter ukiwa December,June au hata January?😑
 
Mdogo wangu umeelewa lakini sababu zilizotolewa za kupungua kwa uzalishaji wa sukari kwa kipindi hiki? Au wewe umekimbilia kutoa maoni yako tu yanayokujia kichwani mwako humo[emoji3][emoji3][emoji3]
Huna akili.

Mvua imezuia uzalishaji sukari.

Mvua imesababisha upungufu uzalishaji umeme.::NCHI YA PWAGU NA PWAGUZI
 
Nchi ya MAPWAGU NA MAPWAGUZI
 
Nchi ya MAPWAGU NA MAPAGUZI[(CCM&SERIKALI YA CCM)[
 
Hiyo sukari kwani itagawa bure! Au ndio yake yale ya kuchanganywa na makapi pumba tukauziwa!.

Je viwanda vyetu tukuka vinazalisha sukari GURU!!
 
Wakati sukari ipo tumefungia.
Hata ikiletwa nyingine tutanunua yote na kufungia.
Mdogo mdogo broo; mwisho wa siku na nyie mtafungiwa humohumo.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…