Tani Elfu 50 za sukari kuingizwa nchini kukabiliana na upungufu uliopo

Huna akili.

Mvua imezuia uzalishaji sukari.

Mvua imesababisha upungufu uzalishaji umeme.::NCHI YA PWAGU NA PWAGUZI
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo matusi. Ungeuliza ni vipi mvua imekwamisha uzalishaji wa sukari viwandani. Jibu ni kuwa uvunaji wa miwa umekuwa ni mgumu wakati huu wa mvua nyingi zinazoendelea kunyesha hapa nchini.
 
Acha lawama zisizo na msingi ndugu yangu.kwa hiyo ulitaka miwa ivunwe Kabya haijakomaa? Hujuwi kuwa kuna wakati wa kuvuna na huwezi ukavuna kabla kwa kuwa inakuwa bado haijakomaa?
 
Leo Supermarket za Mr Discount sukari mwisho kununua mfuko mmoja, juzi ilikuwa mifuko miwili.
 
Deal za watu dhidi ya viwanda vya ndani
 
Tani 50elfu ni kidogo sana ukilinganisha matumizi ya nchi ,,kwanini nchi yetu inashindwa kujitosheleza na vitu vidogo kama sukari .

Aridhi ,watu,maji, tunavyo shida nini ??? Au kuna ubinfsi unakumbatiwa ??
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo matusi. Ungeuliza ni vipi mvua imekwamisha uzalishaji wa sukari viwandani. Jibu ni kuwa uvunaji wa miwa umekuwa ni mgumu wakati huu wa mvua nyingi zinazoendelea kunyesha hapa nchini.
na uzalishaji umeme tupe majibu ya tatizo lilipo
 
na uzalishaji umeme tupe majibu ya tatizo lilipo
Tatizo la umeme linakwenda kubaki historia katika vitabu vya historia.maana muda siyo mrefu mtambo wakwanza unakwenda kuwashwa katika bwawa la mwalimu Nyerere. ambapo megawati zake zitaunganishwa katika grid ya Taifa. Kwa sasa pia serikali inaendelea kuimarisha vyanzo vingine vya umeme ili hata kukitokea mabadiliko ya tabia nchi basi kusiathiri upatikanaji wa umeme.
 
Reactions: Tui
Tani 50elfu ni kidogo sana ukilinganisha matumizi ya nchi ,,kwanini nchi yetu inashindwa kujitosheleza na vitu vidogo kama sukari .

Aridhi ,watu,maji, tunavyo shida nini ??? Au kuna ubinfsi unakumbatiwa ??
Tani za sukari zitaendelea kuingia mpaka zikidhi mahitaji yetu wakati nasi pia tukiendelea kuzalisha sukari ya ndani pale mvua zitakapo pungua na kuanza kutoa nafsi ya kuvuna miwa.
 
hata la sukari litaki historia ila nipe majibu kwanini hadi sasa hakuna umeme na mvua kedekede
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…