Tano kali za Nasibu (Diamond Platnumz)

Tano kali za Nasibu (Diamond Platnumz)

Ukimuona ndio wimbo bora kwangu wa muda wote kutoka kwa Diamond ukifuatiwa na Nenda Kamwambie.
Hata aje aandike vipi sitokaa nimuelewe zaidi ya hizo mbili.
Nakuunga mkono. Hata meneja wake Salaam aliwahi kusema "Ukimuona" ndio wimbo bora wa muda wote kutoka kwa Diamond. Cha kuudhi ni kwamba haukutengenezewa video yake.
 
Nitarejea
Nitampata wapi
Kesho
Nalia na mengi
Hiyo moja nimesahau

2015 kurudi nyuma alijua kutunga baada ya hapo sasa ni kuimba mitusi mikubwa mikubwa bila aibu
 
Wacha niweke orodha yangu pia

1. Kamwambie
Huu unaweza kusema ni mguu wa kutokea wa Nasibu hadi kuwa Diamond... ulikuwa ni wimbo wa taifa 2009.

2. Nitampata wapi
Moja kati ya nyimbo bora sana za Diamond, melodyz ushairi, utulivu, quality ya video, mavazi n.k

3. I miss you
Yawezekana, ahadi zangu zisizotimia
Ndiyo maana, haukutaka kuvumilia
Nasema nyama, mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana, usiku dona kulumangia...

4. Moyo wangu
Hii ngoma iliitangulia ngoma ya Suma Lee ile ya Hakunaga, kidogo sana, ilifanya tugawanyike... wengine Hakunaga ni kali, na wengine Moyo wangu ni kali... any ways, Moyo wangu uliikubali sana Moyo wangu

5. Binadamu
Very inspirational song, real life inspiration... sijui kama masikio yenu yanasikia kama ninavyosikia mimi!!


N.B: Kuna wimbo unaitwa KWANINI... Kuna wakati nahisi naujua mimi pekee, ila ni moja kati ya nyimbo nzuri za Diamond Platnumz nizopendazo
 
Wacha niweke orodha yangu pia

1. Kamwambie
Huu unaweza kusema ni mguu wa kutokea wa Nasibu hadi kuwa Diamond... ulikuwa ni wimbo wa taifa 2009.

2. Nitampata wapi
Moja kati ya nyimbo bora sana za Diamond, melodyz ushairi, utulivu, quality ya video, mavazi n.k

3. I miss you
Yawezekana, ahadi zangu zisizotimia
Ndiyo maana, haukutaka kuvumilia
Nasema nyama, mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana, usiku dona kulumangia...

4. Moyo wangu
Hii ngoma iliitangulia ngoma ya Suma Lee ile ya Hakunaga, kidogo sana, ilifanya tugawanyike... wengine Hakunaga ni kali, na wengine Moyo wangu ni kali... any ways, Moyo wangu uliikubali sana Moyo wangu

5. Binadamu
Very inspirational song, real life inspiration... sijui kama masikio yenu yanasikia kama ninavyosikia mimi!!


N.B: Kuna wimbo unaitwa KWANINI... Kuna wakati nahisi naujua mimi pekee, ila ni moja kati ya nyimbo nzuri za Diamond Platnumz nizopendazo
Na upata huo wimbo ni moto
 
japo umeandika kama mtoto ila nipo hapa coz namkubali sana Diamond si kwa nyimbo zake ila jinsi anavyofanya mambo yake

keep GoinG
Kwamba nimeandika kama mtoto 😅.

Kiaje kaka nisanue nijirekebishe
KWA UPAMBANAJI WA DIAMOND NI

MPUMBAVU PEKEE ATAKAE SHINDWA KUONA NAOMA JAMAA ALIVYOPAMBANA

ACHA ALE PESA ZAKE KWA AMANI AISEE
Jamaa mpambanaji sana 🙌
Komasava world wide.
Komasava 😅
 
Ukimuona ndio wimbo bora kwangu wa muda wote kutoka kwa Diamond ukifuatiwa na Nenda Kamwambie.
Hata aje aandike vipi sitokaa nimuelewe zaidi ya hizo mbili.
Hizo ni ngoma kali sana.

Ila sasa kuna hii ya "I Miss You", katulie tuli then uisikikize kwa mara nyingine tena.
 
Wacha niweke orodha yangu pia

1. Kamwambie
Huu unaweza kusema ni mguu wa kutokea wa Nasibu hadi kuwa Diamond... ulikuwa ni wimbo wa taifa 2009.

2. Nitampata wapi
Moja kati ya nyimbo bora sana za Diamond, melodyz ushairi, utulivu, quality ya video, mavazi n.k

3. I miss you
Yawezekana, ahadi zangu zisizotimia
Ndiyo maana, haukutaka kuvumilia
Nasema nyama, mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana, usiku dona kulumangia...

4. Moyo wangu
Hii ngoma iliitangulia ngoma ya Suma Lee ile ya Hakunaga, kidogo sana, ilifanya tugawanyike... wengine Hakunaga ni kali, na wengine Moyo wangu ni kali... any ways, Moyo wangu uliikubali sana Moyo wangu

5. Binadamu
Very inspirational song, real life inspiration... sijui kama masikio yenu yanasikia kama ninavyosikia mimi!!


N.B: Kuna wimbo unaitwa KWANINI... Kuna wakati nahisi naujua mimi pekee, ila ni moja kati ya nyimbo nzuri za Diamond Platnumz nizopendazo
Hii kwanini ngoja nikaisikilize
 
Tano za diamond ni zile ambazo apig kilele ila mimi ni tatu tu ndio nakubali alipga kweli
1.TATIZO MBAGALA
2.FT OMARION
3FT WATERKELLERMEN
ila magodoro yamelowekwa maji mmmmh au izi nyingine uwezi kutambua kipaji chake
 
Back
Top Bottom