Pascal saulon
Member
- Feb 4, 2023
- 26
- 23
- Thread starter
- #41
Aisee NASIBU alitulia mnoo 🙌Hizo ni ngoma kali sana.
Ila sasa kuna hii ya "I Miss You", katulie tuli then uisikikize kwa mara nyingine tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee NASIBU alitulia mnoo 🙌Hizo ni ngoma kali sana.
Ila sasa kuna hii ya "I Miss You", katulie tuli then uisikikize kwa mara nyingine tena.
Hii feat Waterkellermen ni ipiTano za diamond ni zile ambazo apig kilele ila mimi ni tatu tu ndio nakubali alipga kweli
1.TATIZO MBAGALA
2.FT OMARION
3FT WATERKELLERMEN
ila magodoro yamelowekwa maji mmmmh au izi nyingine uwezi kutambua kipaji chake
Vyuma hivi 🥱 🙌1. Mary You (Sina uhakika na title ya wimbo, kaimba na Neyo)
2. Nitampata Wapi.
Fanya hivyo mkubwa ile chuma ilikuwa moto 🔥🔥Kwaiyo tumekubalina wadau wangu niwatolee video ya ukimuona sawa maoni yenu nimeyachukua na ntayafanyia kazi
Tulia kaka, kama hujalipenda chapisho unatulia tukwani TV na redio yake ina kazi gani mpaka utuwekee hapa JF
Bonge la chuma 🙌MOYO WANGU.
🙌🙌🙌'Ukimwona' ni The best song Kwa upande wangu tangu namjua mpaka sasa.
Inastajaabisha sana 😂Aga mi nashangaaga, licha ya Diamond kuimba nyimbo kali za mapenzi. lakini, tukitazama uhalisia wa maisha yake ya Mapenzi tunapata hitimisho jamaa hajakomaa kabisa. We Nasibu tega sikio nikufunze, mapenzi ni kujitoa pasipo kutegemea malipo, mapenzi ni kupoteza uthibiti wa maisha yako na kudondokea penzini.
Umepita mule mule🙌Diamond platinumz The true Legend...
Jamaa ana uandishi flanii hizi amazing nadhani ni Kwa sababu alianza kurapu kabla ya kubana pua...
Na hii inawabeba Sana wasanii waliopita Wasafi records.. wanajua kuandika Sana...
Mikwaju Mitano Nayoipenda zaidi toka Kwa Diamond Platinumz ni hii...
1. Mbagala
"Ile siku shekhe namwona anachoma ubani, unavishwa Pete unakua mke wa flani... Niliumia Sana sanaaaa ahaahha"...
Hapo yakikukuta ndo utaelewa mwamba alimaanisha nn
2. Sikomi
Kama kuna Ngoma imepangiliwa vizuri zaidi kutoka Kwa Simba basi Sikomi ni namba moja.... Kuanzia beat, mashariki, vina, content, vocal na video ni balaa tupu.
3. Ukimwona...
Huenda ndo wimbo wa Simba unaweza kukupa feeling zaidi za mahaba
4. Hunisumbui
Hakuna wimbo wa diamond naupenda kama huu
5. Kesho
Ile beat itachuja siku muziki ukitolewa duniani
Limeisha Hilo kakaHakuna wa kupinga
Ukavunja kabisa na shina la penzi langu 🙌Kwa kuti na mkole daaah those were the days
Google au search youtube bonge la nyimbo jamaa mule kaimbaHii feat Waterkellermen ni ipi
Fundi kabisa 🙌DIAMOND PLATNUMZ NI MMOJA KATI YA WASANII KUTOKEA AFRIKA YA MASHARIKI KUFANYA VYEMA KIMATAIFA, NI MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII, DIAMOND PLATNUMZ NI MSANII MWENYE JUHUDI, USIKIVU, UTULIVU, AMEFANYA MAMBO MAKUBWA SANA KATIKA TASNIA YA MUZIKI.
UWEPO WA WASANII WA SASA HARMONIZE, LAVA LAVA, MBOSO, RAY VANNY, D VOICE, ZUCHU, YOTE HAYA NI MATUNDA NA MATOKEO CHANYA YA UCHAPA KAZI WA RAIS WA WASAFI.
ENDELEA KUPEPERUSHA BENDERA YETU NASSIB ABDUL ISSACK JUMA.
Daah picha ni hatari 🙌HIO picha inaongea Mengi sana
Chuma hiki 🙌Nenda kamwambie
Picha HIO inaongea Mambo mengi sana kwa wakati mmojaDaah picha ni hatari 🙌
Kuna hallelujah mkuu umeisahauTano za diamond ni zile ambazo apig kilele ila mimi ni tatu tu ndio nakubali alipga kweli
1.TATIZO MBAGALA
2.FT OMARION
3FT WATERKELLERMEN
ila magodoro yamelowekwa maji mmmmh au izi nyingine uwezi kutambua kipaji chake
Nilitaka niseme hapa na mie, "ukimuona" ndio ngoma kaliiii kuliko.Ukimuona ndio wimbo bora kwangu wa muda wote kutoka kwa Diamond ukifuatiwa na Nenda Kamwambie.
Hata aje aandike vipi sitokaa nimuelewe zaidi ya hizo mbili.