Tano kali za Nasibu (Diamond Platnumz)

Tano za diamond ni zile ambazo apig kilele ila mimi ni tatu tu ndio nakubali alipga kweli
1.TATIZO MBAGALA
2.FT OMARION
3FT WATERKELLERMEN
ila magodoro yamelowekwa maji mmmmh au izi nyingine uwezi kutambua kipaji chake
Hii feat Waterkellermen ni ipi
 
Inastajaabisha sana πŸ˜‚
 
Umepita mule muleπŸ™Œ
 
Fundi kabisa πŸ™Œ
 
Tano za diamond ni zile ambazo apig kilele ila mimi ni tatu tu ndio nakubali alipga kweli
1.TATIZO MBAGALA
2.FT OMARION
3FT WATERKELLERMEN
ila magodoro yamelowekwa maji mmmmh au izi nyingine uwezi kutambua kipaji chake
Kuna hallelujah mkuu umeisahau
 
Ukimuona ndio wimbo bora kwangu wa muda wote kutoka kwa Diamond ukifuatiwa na Nenda Kamwambie.
Hata aje aandike vipi sitokaa nimuelewe zaidi ya hizo mbili.
Nilitaka niseme hapa na mie, "ukimuona" ndio ngoma kaliiii kuliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…