Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napita kibaha nyakati zote,alfajir, asubuhi,mchana,alasiri,usiku kwa miaka 23Ishu sio kama unapajua kibaha au la, ishu ni foleni ya kwa mathias kwenye mataa
Then you are not serious, hayo magari yanayopita njia ya zamani na kuja kutokezea picha ya ndege wanaenda kutalii nane nane?Napita kibaha nyakati zote,alfajir, asubuhi,mchana,alasiri,usiku kwa miaka 23
Nadhani hujui kuwa mtu asiyejifunza kutoka kwenye yaliyopita yuko doomed kurudia makosa ya zamani. Hiyo unayoisema 'jana imepita', ndiyo inapaswa kutuonyesha tufanye nini kesho.Nadhani una hangover ya utawala uliopita. Ishi Leo Jana ishapita.