Ikulu T
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 1,600
- 4,714
Wewe tulia akili zako ni ndogo[emoji23][emoji23]Wapi hakuna uhitaji? Dodoma Kuna congestion ipi kuzidi junction ya Mafiat au CBD ya Mwanjelwa au Junction ya Meta?
Au hayo mahitaji unayaona wewe punga peke yako?