DOKEZO TANROADS mkoa wa Arusha wekeni matuta pale shule ya msingi Kimandafu na njia ya ng'ombe au mnasubiri maafa makubwa yatokee

DOKEZO TANROADS mkoa wa Arusha wekeni matuta pale shule ya msingi Kimandafu na njia ya ng'ombe au mnasubiri maafa makubwa yatokee

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Shule ya Msingi Kimandafu ipo kati ya Maroroni na Kikatiti. Ukitokea Maroroni, eneo hilo ni mteremko wenye kivuko cha watoto chenye alama za pundamilia, lakini madereva wengi hawazingatii. Leo asubuhi, mwanafunzi alinusurika kugongwa na gari ndogo iliyokuwa ikitokea Maroroni.

Pale eneo la Pallangyo, ni muhimu kujenga kituo cha kushushia na kupakia abiria. Fedha zetu, kama Watanzania, zinapaswa kutumika kutoa huduma zinazostahili kwa usalama wa wananchi.
 
Shule ya Msingi Kimandafu ipo kati ya Maroroni na Kikatiti. Ukitokea Maroroni, eneo hilo ni mteremko wenye kivuko cha watoto chenye alama za pundamilia, lakini madereva wengi hawazingatii. Leo asubuhi, mwanafunzi alinusurika kugongwa na gari ndogo iliyokuwa ikitokea Maroroni.

Pale eneo la Pallangyo, ni muhimu kujenga kituo cha kushushia na kupakia abiria. Fedha zetu, kama Watanzania, zinapaswa kutumika kutoa huduma zinazostahili kwa usalama wa wananchi.
kabisa kabisa !
Naunga mkono hoja 💯 🙏
 
Shule ya Msingi Kimandafu ipo kati ya Maroroni na Kikatiti. Ukitokea Maroroni, eneo hilo ni mteremko wenye kivuko cha watoto chenye alama za pundamilia, lakini madereva wengi hawazingatii. Leo asubuhi, mwanafunzi alinusurika kugongwa na gari ndogo iliyokuwa ikitokea Maroroni.

Pale eneo la Pallangyo, ni muhimu kujenga kituo cha kushushia na kupakia abiria. Fedha zetu, kama Watanzania, zinapaswa kutumika kutoa huduma zinazostahili kwa usalama wa wananchi.
Nchi iko busy na uchaguzi huko ndiko kuna hela
 
Barabara za Tz zimejaa matuta kama shamba waweke utaratibu wa vivuko sio kutujazia matuta natumaini muandishi wa uzi anafanya town trip tu matuta yanakera saana weka polisi muda wa wanafunzi sio kutuharibia magar
 
Back
Top Bottom